Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,485
- 4,011
Huku kwetu Mkata zi
iaseee hata mkata zimenyesha mvua nyeusi balsa na Tafu usiku kucha juzi nadhani kuna ishu ya moshi toka AustraliaHuo mguu sasa🤣🤣🤣🤣
Kwa ujumla hiyo mvua ipo sehemu nyingi kuanzia jana, wengine wakahisi labda kuna moshi angani huku maeneo yetu.
Inawezekana inatokona na moshi wa ule moto mkubwa uliokumba Australia siku za karibu

sasa dawa yake n nini? Yan hapa tuko na mafua ya hatari na vichupa vya dawa tushamaliza