Mvua hii inyeshe sana kwenye madanguro yote nchini,

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
Jiji la Dar es salaam kwa sasa lipo kwenye kipindi cha mvua,kuanzia majuzi jana mpk leo mvua inanyesha tu.

Nimuombe Mungu apeleke gharika kwenye madanguro yote yaliyo chukizo mbele ya binadamu na kwake pia.

Kwani biashara hyo sasa imeota mizizi ya kujiuza binadamu.
 
Jiji la Dar es salaam kwa sasa lipo kwenye kipindi cha mvua,kuanzia majuzi jana mpk leo mvua inanyesha tu.

Nimuombe Mungu apeleke gharika kwenye madanguro yote yaliyo chukizo mbele ya binadamu na kwake pia.

Kwani biashara hyo sasa imeota mizizi ya kujiuza binadamu.
Mvua inyeshe siku zote?

Na huko Badoo na mitandao mingine mvua inyeshe pia, si eti?
 
Makahaba wanasaidia sana acha kuwalaani, we huko karibu na Mungu kumzidi Yuda. Fuatilia habari za Yuda, watu waliokuwa karibu na Mungu na hata sauti ya Mungu walikuwa wanaisikia lakini alipomwona Tamari mkwewe akiwa amejivika mavazi ya kikahaba hakumtambua na akaenda kupona. Hujui kama wanasaidia?
 
Yaani makahaba yanajiachia kama yapo nchi yao pale SOCCER CITY sinza na ile gesti bubu pembeni
 
sema kila mtu anyeshewe mvua inayolingana na dhambi zake sio kuonea madanguro tu
 
Wewe uliyeandika hivi ukute una demu wako au mke wako na watu wanajisevia kinoma kwa kulipia au burebure.Nakusihi use me mvua inyeshe kwa watu wote wanaofanya matendo yanayoendana na wanayoyatenda watu wa madanguroni.
 
Jiji la Dar es salaam kwa sasa lipo kwenye kipindi cha mvua,kuanzia majuzi jana mpk leo mvua inanyesha tu.

Nimuombe Mungu apeleke gharika kwenye madanguro yote yaliyo chukizo mbele ya binadamu na kwake pia.

Kwani biashara hyo sasa imeota mizizi ya kujiuza binadamu.
Hii nayo unaita mvua? Mvua mwezi wa tatu na wa nne kwa hapa Dar, hivi ni vimanyunyu hivyo makahaba wanaipenda sababu kuna watu wanadai eti kuna baridi hivyo wanahitaji joto, kwao ni neema!
 
Madanguro ya Wahaya yanazidi kushamiri Mwananyamala, manzese, buguruni, sokota, tandika, msasani na kigamboni. Bei hizi za 3,000/goli+kondomu si hata wanafunzi wataishia hukooo?
 
Nahitaji danguro mkuu, siyo mtu mmoja mmoja. Sisi wengine ni Mashabiki wa THREESOME
 
Ndo uongee na Tina yeye yupo Danguroni hizo Logistics zote atafanya. Ila ujipange usije kutoka nduki. Maana wamejipanga kina dada waliojazia toka mkoa jirani walima ndizi, pembezoni mwa Ziwa Kubwa Afrika
 
Back
Top Bottom