Muziki wa Tanzania

Muziki wa Tanzania

one by one

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
5,835
Reaction score
9,310
Napenda tuchangie tuone wapi muziki wetu unakwama hasa katika Live show.

Na hapa siongelei kikundi kimoja ni kwa ujumla. WCB ni katika label iko juu hapa Tz na ni kama kiongozi wa mzuki wetu na kwa bahati mzuki wa Bongo Fleva unakubalika na uko katika peak yake au tuseme uko juu. ila wasiwasi wangu tusipojirekebisha sasa katika perfomance za Live show basi hautaenda mbali.

Jana nimeangalia show ya WCB Muscat kwa kweli sidhani kama watu watalipa siku nyingine show haikuwa nzuri kabisa tuna trend katika media katika mambo mengine lakini ikija real perfomance tunashindwa hatuwezi Live music jana was so poor na hii ni WCB sasa hao wengine wataitwa na nani maana label kubwa poor.

Wasanii wajitafakari sana au wataishia njiani hakuna userious katika kufanya Live music shows.
 
Mkuu kumbuka bongo fleva ni waimbaji na si wanamuziki mwana mziki ni lazima aweze kuimba live, Mziki wa live nimzuri sana una rahayake kama wewe ni mpenzi wa mzuki nadhani utakuwa unanielewa vizuri, kwamfano kuna mwana muziki Saida karoli huyu mama live anaiweza sana sana sana, pia hata barnaba ni mzuri kwa mziki wa live.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mara wanafanya hizo live show na watu wanaenda au ww ndo umeona jana? Mpaka useme baada ya hapi hawatapata show tena? Alafu watanzania achen hii obsession na wcb khaaaa fiest kila mwaka wanapiga live show na huwa ni mbaya tu vile vile lakn mtu kaona wcb tu
 
Kwa nature ya mziki wenyewe wa bongo fleva.Ni ngumu sana kuimba bongo fleva with live music.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona fidi kyu anaimba vizuri sana na live, umewahi kumsikia mwana efuei, je barnaba nae, alikiba hao wote wanaimba vizuri sana na live band sema kwa upande wa dablyuusibii hawako vizuri kabisa, kabla ya kufikiria kufanya kubwa kama hyo basi wangefikiria kufanyia mazoezi na kuliondoa tatizo hilo maana kwa waarabu hakuna cha kuwaambia "piga keleleeeee"

Air HOSTAGE
 
Back
Top Bottom