Kennethmhaiki
Member
- Feb 21, 2013
- 64
- 37
Muziki wa dance uliwahi kutamba kwenye miaka ya 1990 hadi 2000, baada ya hapo muziki wa kizazi kipya uliingilia kati japo miaka ya hivi karibuni muziki huu umeishiwa pumzi mpaka unajikuta unaingia kwenye bongo fleva- dansi.
Ukiangalia maudhui kama kucheza na hata nyimbo zake utakuja kubaini kuwa dance inarudi tena kwa KISHINDO, ni wakati sasa kwa band kama Twanga pepeta, Akudo, Msondo kuanza kujipanga upya kwenye awamu hii ya pili ya Bolingo na ngai.
Ukiangalia maudhui kama kucheza na hata nyimbo zake utakuja kubaini kuwa dance inarudi tena kwa KISHINDO, ni wakati sasa kwa band kama Twanga pepeta, Akudo, Msondo kuanza kujipanga upya kwenye awamu hii ya pili ya Bolingo na ngai.