Muwe mnajiongeza jamani

Kwani wote wanaishi sebule chumba, wengine wana sebule na vyumba hivyo akiingia unamwacha sebuleni asubiri hata masaa 4 peke yake alafu ndo unatoka kumsindikiza huyo mwenye open shoes (akigonga siku nyingine basi anastahili kupelekwa Mirembe)
 
Wengine huwa tunaviingiza ndani tunafunga mlango kwa funguo kuepusha kukatwa steam
 
Mi ni roho ya kwanini; lazima nizidishe kasi na nguvu ya kugonga mlango!

Haiwezekani mtufanyie makusudi halafu tuwaache tu... HAIWEZEKANI!

Na mkijifanya wabishi nitawaita hata kwa maJina... cpendi ujinga mimi!
Hahahahaha we chige
kweli hiyo ni roho ya kwanini
 
Kwani wote wanaishi sebule chumba, wengine wana sebule na vyumba hivyo akiingia unamwacha sebuleni asubiri hata masaa 4 peke yake alafu ndo unatoka kumsindikiza huyo mwenye open shoes (akigonga siku nyingine basi anastahili kupelekwa Mirembe)
Hahaha mie kuniweka sebleni nikae tuuuuuu ni heri niondoke nirudi badae
 
Hahahahaha we chige
kweli hiyo ni roho ya kwanini
Hiyo inaitwa tukose wote... atakapokosea ni pale atakapoamua kukufungulia aki-assume utaongea kilichokuleta chap chap kisha unasepa; kumbe wapi!

Unapiga story weeeeee; potelea mbali hata kama watakuwa hawanipi ushirikiano! Sitoki hadi nahakikisha shemela keshapanda daladala.

Hata wakini-mind; poa tu; Mungu atanitunuku zigo la thawabu!
 
Hahahaha yani we ni hufai siku nyingine hata ukigonga hufunguliwi,ukipiga simu hupokelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…