Mnamatatizo sana, mimi nadhani serkali imeweka watu kwa kuwaamini ambao wanaangalia na kukagua vyeti vya wanafunzi kabla hawajajiunga chuo chochote.Sasa leo utasemaje kuwa huwaamini watu hao,waliopewa hiyo kazi.
Acheni majungu fanyeni kazi ongezeni kipato, waachie waliopewa hiyo kazi ya kukagua vyeti wafanye kazi yao.Why watanzania hatuaminiani kwenye kazi?.Mwenzako kapewa kazi ya kukagua vyeti na serikali leo unasema humwamini ni vipi.Piga kazi songa mbele, waza maisha yako yakoje tangia umemaliza shule unamafanikio, au unatumika tuuu.Na kama unatumika tu, hamna mafanikio tafuta kazi pengine, kama alivyosema mchangiaji mmoja,ukifoji vyeti hutafika mbali, utaishia njiani.
"Acheni wafanye kazi yao na tuwaamini bwana"