Muuzaji wa duka la dawa anahitajika

Muuzaji wa duka la dawa anahitajika

kichwakipana

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
206
Reaction score
45
Anahitajika mtu wa kuuza duka la dawa, Lazima awe anaishi jirani na eneo duka lilipo, mbezi mwisho, mbezi msakuzi, makabe na Msumi
0762071827
 
Mh mjumbe, nakushauri uende na koti jeupe lililo karibia kufika kwenye magoti....


Sifa mh mjumbe, nitaambiwa muuza nyama bucha buree.

Hapo atafute kabinti kazuri zuri mbona biashara itaenda poa tu hasa kwa zile dawa za kuboost au za kuepuka zari la Da jane
 
Back
Top Bottom