Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,236
Hivi si tulishapitisha sheria ya haki za wanyama?
hayo ni ya kweli na mimi mwenyewe nilishahakikisha kwenye minada ya arusha.jamani jamani, hiii haikuwemo kwenye maajabu mapya saba ya dunia??????
Hivi si tulishapitisha sheria ya haki za wanyama?
Ha ha ha ha! Nadhani anaogopa hao kuku watamdony'oa macho ikiwa atawaning'iniza kichwani. Hiyo itakuwa hatari manaake anaweza kusababisha ajali na kuharibu biashara yote!angejifunga hadi kichwani
jamani jamani, hiii haikuwemo kwenye maajabu mapya saba ya dunia??????