Bishop Fihavango
Member
- Jul 26, 2012
- 16
- 4
Natafuta dada kwaajili ya kazi ya kuuza vipodozi,Duka lipo maeneo ya Manzese so nikipata dada anayeishi maeneo ya Magomeni,Usalama,Mwembechai,Kagera,Manzese,Tiptop na Mabibo itakuwa poa coz duka linafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa mbili usiku.Kwa maelezo zaidi Tuma sms kwenye simu no 0782444310 au email fihavangoa@yahoo.com.
Thanks.
This is Baba T.
Thanks.
This is Baba T.