Muungwana kumg'oa Pinda?

Status
Not open for further replies.

Kakulwa

Senior Member
Oct 10, 2008
113
29
Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya.

Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.

Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.

Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!
 
lisemwalo lipo! kama halipo laja! yetu macho
anayepwaya siyo pinda peke yake, hat jk amepwaya vibaya sana
 
Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya.
Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.
Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!

Join Date: Fri Oct 2008
Posts: 1
Rep Power: 0
Kakulwa
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Credits: 301

Haya Bw/Bi tumesikia....
 
Yawezekana maana mambo iwa yanakuja hivi hivi hapa kiutani utani baadae tunaanza kuita ni breaking news...ngoja tusubili.
 
Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya. Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'. Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!



MoDs tafadhali hii tunaomba uihamishie mahali pake Udaku ! Jokes! Nyepesi, hivi vyanzo vyenye uhakika naona vinakuwa vingi JF...mshikaji anapost moja anakuja na makeke ile mbaya....Karibu sana JF mkuu Kakulwa naona umeingia kwa ID nyingine.....
 
Join Date: Fri Oct 2008
Posts: 1
Rep Power: 0
Kakulwa
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Credits: 301

Haya Bw/Bi tumesikia....

Wakati mwingine Masatu, nakuvulia kofia. Haya maneno yako makubwa kuliko kitabu kizima. Akili mwe kichwa, akili ni nywele
 
Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya.
Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.
Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!
PINDA ni chaguo la Mungu kwa WaTanzania
 
Huyu Kakulwa anaweza kuwa ana malengo yake kuweka bandiko hili.
lakini wakuu on a serious note, hivi mnauonaje utendaji wa Pinda tangu ateuliwe kushika wadhifa huo? Has he delivered as expected?
 
Huyu Kakulwa anaweza kuwa ana malengo yake kuweka bandiko hili.
lakini wakuu on a serious note, hivi mnauonaje utendaji wa Pinda tangu ateuliwe kushika wadhifa huo? Has he delivered as expected?

Is too earlier to judge him but my short time periodical review is "atleast he hasnt done any harm" and he slightly lean towards the path of Dr Mohammed Shein of "keeping low profile"
 
Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya.
Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.
Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!


...hoja yako inatamanisha ...lakini kwa kuwa hii ni post yako ya kwanza inanipa tabu moja kwa moja kukubali au kukataa...kupanda gari yako/..
 
'Watu wanadhani JK ni naive,hajua yanayoendelea nchini.Nakwambiaje,JK anawajua wabaya wake wote na anajua changamoto zinazomkabiri wakati atakapoomba kura mwaka 2010.Wewe si unaona hii ziara ya mbeya,si unaona alivyouteka mkoa kwa juhudi za kina mwakipesile?Mambo ndiyo yameanza kuelekea 2010'.chanzo hicho kiliongeza.

Chanzo hicho chenye heshima na ambacho ni muhimu katika mustakabali wa taifa kilithibitisha pia kuwa Rais mstaafu Mkapa alikwishamuonyaJK kuwa asimpoteze Magufuli kisiasa kwani atamsaidia sana kurudisha imani iliyopungua ya wananchi kuhusu matarajio waliyokuwa nayo kwa JK kabla hajawa Rais.Hivyo JK atampa wizara mojawapo kati ya miundombinu ili arudishe kasi ya ujenzi wa barabara au elimu ili aendeleze ile kasi ya ujenzi wa shule iliyoanzwa na Lowasa ambayo imempa sifa sana JK hasa kwa wahisani.

Chanzo kinasema timu ya ushindi ya JK 2010 imeshaundwa na imepewa jina la 'KIKWETE TENA 2010' inayoongozwa na mmoja wa viongozi waandamizi wastaafu wa usalama wa taifa(jina linahifadhiwa),na wameshaanza kuzunguka mikoani na kuzungumza na viongozi wa mikoa ili kujua kukubalika kwa JK 2010.

Wakuu mwenye macho haambiwi tazama,kama mnategemea habari mpaka mletewe na mwakakijiji ndiyo muamini,haya!

Habari ndiyo hiyo wakuu,nitazidi kuzileta kwa kadiri ninavyozipata.
 
Hili li PM linawezekana, ingawa tuna liona ni gumu , kwa sababu ya impact yake ya kuwa na wastaafu wengi wa U-PM.
The Key thing ni kwamba Aliye Kuwepo Hana Mvuto wa kutosha wa Kumletea Kiongozi wetu Kura Nyingi, kwa sababu hayupo kwenye siasa za makundi, na labda utendaji wake Pia.
So inaweza ikatokea mto wa Kusini Nyanda za Juu/ Kanda ya Ziwa.
Unajua siasa zetu zimeja Ghiliba, sasa kinacho tafutwa ni Ghiliba itakayo leta matokeo mazuri.
 
'Watu wanadhani JK ni naive,hajua yanayoendelea nchini.Nakwambiaje,JK anawajua wabaya wake wote na anajua changamoto zinazomkabiri wakati atakapoomba kura mwaka 2010.Wewe si unaona hii ziara ya mbeya,si unaona alivyouteka mkoa kwa juhudi za kina mwakipesile?Mambo ndiyo yameanza kuelekea 2010'.chanzo hicho kiliongeza.
Chanzo hicho chenye heshima na ambacho ni muhimu katika mustakabali wa taifa kilithibitisha pia kuwa Rais mstaafu Mkapa alikwishamuonyaJK kuwa asimpoteze Magufuli kisiasa kwani atamsaidia sana kurudisha imani iliyopungua ya wananchi kuhusu matarajio waliyokuwa nayo kwa JK kabla hajawa Rais.Hivyo JK atampa wizara mojawapo kati ya miundombinu ili arudishe kasi ya ujenzi wa barabara au elimu ili aendeleze ile kasi ya ujenzi wa shule iliyoanzwa na Lowasa ambayo imempa sifa sana JK hasa kwa wahisani.
Chanzo kinasema timu ya ushindi ya JK 2010 imeshaundwa na imepewa jina la 'KIKWETE TENA 2010' inayoongozwa na mmoja wa viongozi waandamizi wastaafu wa usalama wa taifa(jina linahifadhiwa),na wameshaanza kuzunguka mikoani na kuzungumza na viongozi wa mikoa ili kujua kukubalika kwa JK 2010.

Wakuu mwenye macho haambiwi tazama,kama mnategemea habari mpaka mletewe na mwakakijiji ndiyo muamini,haya!
Habari ndiyo hiyo wakuu,nitazidi kuzileta kwa kadiri ninavyozipata.

Taratibu mkuu uzuri wa jamvi hili kunakitu kinaitwa self-censorship hivyo wala usikwazike wewe lete habari kila mtu ataichukua kwa anavyo iona......
 
'Watu wanadhani JK ni naive,hajua yanayoendelea nchini.Nakwambiaje,JK anawajua wabaya wake wote na anajua changamoto zinazomkabiri wakati atakapoomba kura mwaka 2010...
Wakuu mwenye macho haambiwi tazama,kama mnategemea habari mpaka mletewe na mwakakijiji ndiyo muamini,haya!
Habari ndiyo hiyo wakuu,nitazidi kuzileta kwa kadiri ninavyozipata.

Mkuu Kakulwa, kwa taarifa yako, hapa hapa jamvini, mizi kadhaa iliyopita, yupo mtu ambaye alikuja na hoja inayofanana na yao, akasema EL atarudishwa katika baraza 'hivi karibuni'. Mpaka leo hiyo hivi karibuni haijatimia, hivyo, kama unataka kuwashawishi watu waamini unachokisema, weka uthibitisho, si haya maneno ambayo kila mtu anaweza kuyasema
 
Huyu Kakulwa anaweza kuwa ana malengo yake kuweka bandiko hili.
lakini wakuu on a serious note, hivi mnauonaje utendaji wa Pinda tangu ateuliwe kushika wadhifa huo? Has he delivered as expected?

Unamaana ni maamuzi gani ameyafanya KIMAHIRI mbele ya vyombo vya habari kama alivyokuwa FISADI LOWASSA?........

Tanzanianjema
 
Chanzo hicho chenye heshima na ambacho ni muhimu katika mustakabali wa taifa kilithibitisha pia kuwa Rais mstaafu Mkapa alikwishamuonyaJK kuwa asimpoteze Magufuli kisiasa kwani atamsaidia sana kurudisha imani iliyopungua ya wananchi kuhusu matarajio waliyokuwa nayo kwa JK kabla hajawa Rais.Hivyo JK atampa wizara mojawapo kati ya miundombinu ili arudishe kasi ya ujenzi wa barabara au elimu ili aendeleze ile kasi ya ujenzi wa shule iliyoanzwa na Lowasa ambayo imempa sifa sana JK hasa kwa wahisani.
.

Sasa tunakupata kaka.....

Tanzanianjema
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom