Habari zilizonifikia leo kutoka chanzo changu cha uhakika zinasema muda si mrefu kuanzia sasa Muungwana atafanya reshuffle nyingine na atamuondoa pinda katika nafasi ya uwaziri mkuu kwavile anaonekana kupwaya na kutoimudu kauli mbiu yake ya kasi mpya.
Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.
Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!
Chanzo hicho ambacho kiko karibu na mtandao maslahi kinasema Lowasa atarudi ulingoni lakini siyo katika nafasi ya uwaziri mkuu tena lengo ni politiki ya Muungwana katika kupunguza 'maumivu' aliyomsababishia Lowasa katika shwala zima la kashfa ya ufisadi kwa madai kuwa 'hakumkingia kifua'.
Mpasha habari anasema,aliyoandika Kubenea siyo madogo na hivyo kumweka muungwana njia panda na kuzidi kumgwaya lowasa kwani kama lowasa atadhamiria kweli inaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya chama na taifa kwa ujumla.
Habari kwa sasa ndiyo hiyo wakuu,mengi zaidi baadaye!