Kuna dalili naanza kuziona mitandaoni kuhusu uzanzibar wa bwana Mwalimu na kugombea Kinondoni. Tafadhali sana kampeni zenu zisiuchafue Muungano wetu. Tafadhali chama chochote cha siasa kisikisimange chama kingine eti kumsimamishe mzanzibara...!! Kampeni zenu ziwe za kistaarabu zisiuguse Muungano wetu. Muungano wetu n mzuri sana, unachangamoto kweli..but kampeni hizi zisitugawe.
Sitegemei kusikia msimchague kwakuwa yule ni mzanzibara..Zanzibar siyo Nchi Bali ni sehemu ya Tanzania..wanaye Rais kwakuwa waliofanikisha Muungano waliona si busara kuwa na serikali moja ni kuizamisha Zanzibar; Hakuna muungano usio na changamoto dunia kote.
Nikiri tu wazi kampeni za Ccm ntazifatilia kila sentensi watakayoisema. Nataka nione political maturity ya CCM.
Usiku mwema.
Sitegemei kusikia msimchague kwakuwa yule ni mzanzibara..Zanzibar siyo Nchi Bali ni sehemu ya Tanzania..wanaye Rais kwakuwa waliofanikisha Muungano waliona si busara kuwa na serikali moja ni kuizamisha Zanzibar; Hakuna muungano usio na changamoto dunia kote.
Nikiri tu wazi kampeni za Ccm ntazifatilia kila sentensi watakayoisema. Nataka nione political maturity ya CCM.
Usiku mwema.