Alex khalifa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2025
- 282
- 512
Zanzibar kuna raisi, Tanganyika raisi ni nani? Wapeni Tanganyika serikali yao mambo bado mabichi Hali ikiwa mbaya zaidi hatutaweza kuzuia, kuziba ufa ni Bora kuliko kujenga ukuta.
Kama tumeona Kuna haja ya kuwa na waziri wa muungano tena makosa yanarudi kulekule ni mzanzibar hapo kwa kweli shida IPO tena kubwa sana suluhu ya yote ni serikali tatu kuepusha mengi. Tutake tusitake serikali tatu ndo suluhu lasivyo tutashituka damu zime mwagika sana.
tunako elekea sio kizuri kibaya zaidi picha yetu nje imeshachafuka, na hili naona wa kulisimamia ni raisi mwenyewe, maana ndo anae tuhumiwa na nje wanajua Hilo hivo hata asipo husika watamhusisha TU yanini yote hayo kwanini hatua za haraka zisifuatwe,
Kama tumeona Kuna haja ya kuwa na waziri wa muungano tena makosa yanarudi kulekule ni mzanzibar hapo kwa kweli shida IPO tena kubwa sana suluhu ya yote ni serikali tatu kuepusha mengi. Tutake tusitake serikali tatu ndo suluhu lasivyo tutashituka damu zime mwagika sana.
tunako elekea sio kizuri kibaya zaidi picha yetu nje imeshachafuka, na hili naona wa kulisimamia ni raisi mwenyewe, maana ndo anae tuhumiwa na nje wanajua Hilo hivo hata asipo husika watamhusisha TU yanini yote hayo kwanini hatua za haraka zisifuatwe,