point yangu ni kwamba, tukitengana mtakuwa tayari kurudi kwenu mtuachie ardhi yetu ya Tanganyia, jinsi mlivyojazana kigamboni, dsm na mikoa yote ya tz. muwe tiari kuhama pia, sio mnalianzisha halafu mnashindwa baadaye.
Wapemba wako hata UK , USA mpaka wengine wako kwenye NASA , wengine ni mawaziri kule Canada , na nchi nyengine na wana mali zaidi ya hapo Tanganyika.
Kenya wapemba wako na walikuwa ni nchi moja na Mombasa , Huu si muungano ni UVAMIZI
Wakati wabunge wa upinzani kutoka Zanzibar wakiendelea kushikilia ulazima wa kuheshimiwa kwa matakwa ya kikatiba ya kuundwa haraka kwa Akaunti ya Pamoja ya Fedha baina ya Tanzania Bara (Tanganyika) na Zanzibar, mtaalamu wa uchumi na fedha na waziri wa zamani kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, Juma Duni Haji, amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano haiwezi kukubaliana na uundwaji wa akaunti hiyo kwa kuwa huko kutakwenda kinyume na kile anachokiita “nia ya kuimaliza kabisa Zanzibar.”
Hayo yamo kwenye mazungumzo yake na Zaima TV kupitia kipindi cha Ajenda ya Zanzibar. Msikilize hapa
Butiama haijawahi kudai kujitenga !
kama ndivyo hamna kwenu! kama unapenda wake za wenzio ukichukuliwa wa kwako kausha usilie lie, tulia na wewe Tg ikutafune....kwani hujui [emoji117] View attachment 796763 [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Haitotokea hata siku moja
Akili kama hizo huwezi ukajua faida ya muungano kwa nyinyi wapemba [emoji12] kula uliwe cha mtu mavi dogo [emoji38]
Ule ulikuwa wakati wa dhiki bora wakati huu wa uhuru wa bendera.
Tofautisha kati ya allah anaeapa kwa aliyeumba dhakar na ku%$# [emoji117] View attachment 796670 na ALLAH AMBAYE NI QUN FAYA QUN kuona jina Allah tu unafikiri ndie huyo huyo allah [emoji15] [emoji4]
Ndio mkuu! Huu ukoloni tunaowafanyia ndugu zetu si haki.duh.... unataka uvunjike...?
Yesu ana Baba? Mie ni juavyo Yesu ana Bibi na Babu, vipi kuhusu wajomba na Shangazi?wee unachekesha sana...[emoji4] Hivi wee uyaamini Yesu ana Baba?? hebu acha [emoji117] [emoji33] [emoji33] View attachment 796817
wee unachekesha sana...[emoji4] Hivi wee uyaamini Yesu ana Baba?? hebu acha [emoji117] [emoji33] [emoji33] View attachment 796817
Na ndugu zake akina James lakini sikusikii kusema ndugu wa mungu na mke Wake , Mary sikusikii kusema mke wa mungu
Yesu ana Baba? Mie ni juavyo Yesu ana Bibi na Babu, vipi kuhusu wajomba na Shangazi?
Hawa ndio ndugu Wa Yesu [emoji117] View attachment 796866 allah amesha kuonya [emoji117] View attachment 796867 ilaha unaendeleza unafikiri wako [emoji15] [emoji12]
Yesu ana Baba [emoji117] View attachment 796870 kuhusu Babu, shangazi, jomba...[emoji117] View attachment 796872 [emoji4]
Sawa [emoji106] tatizo nini???
Sawa [emoji106] tatizo nini???
KUMBE UNAELEWA KUWA YESU ANAYE MUNGU ?? UNAFANYA JEURI TU
wewe ulitaka Yesu aongeeje wakati Akiwa ktk Hali yake kibindamu kamiliView attachment 797076 au Mungu hana uwezo Wa kuwa kihivyo?¡