Lazima zitakuwepo ila zimefichwa kimaksudi ili kuficha ukweli wa muungano.....Hizo ni janja za wabara
Kuna ufinyu na ababe usio mahali pake (misplaced).Barubaru ukisema wabara unakosea, sema CCM yote bara na visiwani kwa sababu SMZ ipo na iko kimya pamoja na kuwa na STZ.
karume hakuwa na hotuba za kusisimua kuhusu muungano. Nyerere tu ndo aliweza
Nikiri mimi ni muumini wa kauli za mwl nyerere ila katika hotuba zake za kuhusu muungano sizikubali,hivyo naomba watu wa vyombo vya habari watuwekee vipindi maalum hotuba za abeid karume na abdul jumbe kuhusu muungano maana twataka tupate ukweli wa mambo,je mzee karume alikua na mtazamo gani juu ya muungano huu?Nasikia aliwahi kusema muungano mwisho wake kisiwa cha chumbe
Hivi karume alikuwa anaweza kuhutubia kweli? Au alitegemea hotuba za mwlimu zimbebe
Tunaomba CV ya Karume kwanza kabla ya kusikiliza Hotuba zake!
Tunaomba CV ya Karume kwanza kabla ya kusikiliza Hotuba zake!