Muungano: Kuna nini ndani ya Hotuba za Marehemu rais Abeid Aman Karume?

kijana ni lazima uwe mwangalifu sana na haya maswali yako , utasababisha Mtikisiko wa muungano !
 
Hakuna suala la uangalifu katika hili, kwani historia lazima ionyeshe ni jinsi gani na kwa kiasi gani wazee hao walivyokuwa wana uangalia muungano wao, kwani wametuachia fujo sasa hivi. Istoshe muungano ni miaka kumi tu hii minginge nani kaaongeza.
 
Wanajamvi kila mara hotuba zinazohusu muungano ni za mwl Jk Nyerere,je karume hakuwahi kuzungumzia muungano!

Kama kuna mwenye hotuba za mh.Karume atuwekee.na je kuna sababu gani kutoweka hotuba hizo kwenye vyombo vya habari!

Nikiangalia wakati wa kuchanganya mchanga naona karume anapiga makofi tu ! Hii inamaanisha nini;
-kulazimishwa?
-kuridhika au
-woga ?

Wakati wanachanganya mchanga Karume anapiga tu makofi, Nyerere yeye anafanya nini, mbona husemi hilo? je alikuwa anacheka? analia? anahutubia?
 
Wanajamvi kila mara hotuba zinazohusu muungano ni za mwl Jk Nyerere,je karume hakuwahi kuzungumzia muungano!

Kama kuna mwenye hotuba za mh.Karume atuwekee.na je kuna sababu gani kutoweka hotuba hizo kwenye vyombo vya habari!

Nikiangalia wakati wa kuchanganya mchanga naona karume anapiga makofi tu ! Hii inamaanisha nini;
-kulazimishwa?
-kuridhika au
-woga ?

...hipo mmoja aliitoa mwaka jana kwenye mkutano mkuu wa chama chetu kupitia mtoto wake{Amani Karume raisi msthafu}...inafahamika kwa jina maarufu "wajumbe wa ccm mnavichwa kama samaki"...
 
Ni vuzuri tukajadili kwa kumbukumbu zaidi na takwimu badala ya kuandika mada bila kujiridhisha na ukweli wa mada yenyewe. Karume alifariki mwaka gani? hotuba nyingi za Nyerere ni za kuanzia mwaka gani, je Karume angetoka Kaburini aje kuhutubia? Lakini kubwa tutambue kuwa Nyerere alikuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Karume rais wa Zanzibar, ingekuwa rais wa Zanzibar ahutubie maswala ya muungano wakati rais wa SMT yupo. Hivi ulishasikia Shein amekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano?
Just do some analysis before arguing my dear. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kuupotosha Umma bila sababu yoyote ya msingi.
 
...hipo mmoja aliitoa mwaka jana kwenye mkutano mkuu wa chama chetu kupitia mtoto wake{Amani Karume raisi msthafu}...inafahamika kwa jina maarufu "wajumbe wa ccm mnavichwa kama samaki"...

Huko kwenu kuna giza nini, mbona kama uko gizani vile.
 
Hakuna suala la uangalifu katika hili, kwani historia lazima ionyeshe ni jinsi gani na kwa kiasi gani wazee hao walivyokuwa wana uangalia muungano wao, kwani wametuachia fujo sasa hivi. Istoshe muungano ni miaka kumi tu hii minginge nani kaaongeza.

Muungano ni wa miaka 10?
 
Ni vuzuri tukajadili kwa kumbukumbu zaidi na takwimu badala ya kuandika mada bila kujiridhisha na ukweli wa mada yenyewe. Karume alifariki mwaka gani? hotuba nyingi za Nyerere ni za kuanzia mwaka gani, je Karume angetoka Kaburini aje kuhutubia? Lakini kubwa tutambue kuwa Nyerere alikuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Karume rais wa Zanzibar, ingekuwa rais wa Zanzibar ahutubie maswala ya muungano wakati rais wa SMT yupo. Hivi ulishasikia Shein amekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano?
Just do some analysis before arguing my dear. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kuupotosha Umma bila sababu yoyote ya msingi.

..zipo hotuba za Karume akizungumzia muungano.

..nimewahi kumsikia akiusifia muungano na akiwabeza wale waliokuwa wakimlaumu kwa uamuzi wake wa kuwa makamu wa raisi. hoja ya Mzee Karume ilikuwa kwamba ni bora kuwa makamu wa raisi kwa nchi kubwa kuliko kuwa raisi wa nchi ndogo.

..lakini baadaye inasemekana Karume huyohuyo alianza kuuchukia muungano kiasi cha kufikia kuufananisha na koti linalobana ambalo halistahili kuvaliwa.

cc swagazetu
 
Last edited by a moderator:
[video]http://www.jattyouth.com/videos/punjabi/0shB_WGlYeU/KARUME-SPEECH[/video]
 
Ni vuzuri tukajadili kwa kumbukumbu zaidi na takwimu badala ya kuandika mada bila kujiridhisha na ukweli wa mada yenyewe. Karume alifariki mwaka gani? hotuba nyingi za Nyerere ni za kuanzia mwaka gani, je Karume angetoka Kaburini aje kuhutubia? Lakini kubwa tutambue kuwa Nyerere alikuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Karume rais wa Zanzibar, ingekuwa rais wa Zanzibar ahutubie maswala ya muungano wakati rais wa SMT yupo. Hivi ulishasikia Shein amekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano?
Just do some analysis before arguing my dear. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kuupotosha Umma bila sababu yoyote ya msingi.

Kama unaamini karume hakuwahi kuzungumzia muungano ktk utawala wake basi si bure utakuwa na mtindio wa ubongo
 
Ni vuzuri tukajadili kwa kumbukumbu zaidi na takwimu badala ya kuandika mada bila kujiridhisha na ukweli wa mada yenyewe. Karume alifariki mwaka gani? hotuba nyingi za Nyerere ni za kuanzia mwaka gani, je Karume angetoka Kaburini aje kuhutubia? Lakini kubwa tutambue kuwa Nyerere alikuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Karume rais wa Zanzibar, ingekuwa rais wa Zanzibar ahutubie maswala ya muungano wakati rais wa SMT yupo. Hivi ulishasikia Shein amekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano?
Just do some analysis before arguing my dear. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kuupotosha Umma bila sababu yoyote ya msingi.
Una akili sana. Mungu akubariki kwa majibu haya murua. Long live nyerere na karume.
 
Ni vuzuri tukajadili kwa kumbukumbu zaidi na takwimu badala ya kuandika mada bila kujiridhisha na ukweli wa mada yenyewe. Karume alifariki mwaka gani? hotuba nyingi za Nyerere ni za kuanzia mwaka gani, je Karume angetoka Kaburini aje kuhutubia? Lakini kubwa tutambue kuwa Nyerere alikuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Karume rais wa Zanzibar, ingekuwa rais wa Zanzibar ahutubie maswala ya muungano wakati rais wa SMT yupo. Hivi ulishasikia Shein amekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano?
Just do some analysis before arguing my dear. Hakuna sababu yoyote ya kutaka kuupotosha Umma bila sababu yoyote ya msingi.

In maan Karume hakuongea chochote kuhusu Muungano yu ngali hai?
 
umeongea point maana JK amesema tasiwasahau viongozi waasisi lakini sisi tunamtumia kiongozi muasisi yaani mmoja tu nyerere na kumsahau karume
 
Back
Top Bottom