Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Kumekuwa na mikakati kwa miaka mingi kuhakikisha hotuba zote za Marehemu Abeid Aman karume,zinazo zungumzia mungano wa TANGANYIKA na ZANZIBAR zisisikike na kuwafika wananchi huku za Mwalim julias zipo hewani ,hapa tujiulize nini kinafichwa ikiwa viongozi wa pande mbili hizi walikubaliana Mungano ?wanaficha Mkataba wa Mungano,ingekuwa jambo la Busara tukawa tunamsikia nini alikuwa anauzungumzia kuhusiana na Mungano huu kama vile tunavyomsikia Mwalim julius Kambarage Burito Nyerere.walikubaliana Mungano ?
Last edited: