miftaah
Member
- May 31, 2012
- 30
- 5
Awali ya yote kwanza napenda Kumsukuru Mwenyezi Mungu muumba Mbingu na Ardhi kwa kutufikisha siku kama ya leo tukiwa wazima na hata waliokua si wazima hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila kitu.
Ningependa kuongea kwa niaba ya wazanzibari wenzangu na hata wabara pia na wote wanaopenda amani katika Tanzania yetu hii..
Ni kipindi kirefu cc wazanzibari tulikua tunalia kuhusu huu Muungano kua hautunufaishi sisi wazanzibari maana jambo lenye faida hua halilizi ila linafurahisha na ndio mana cc wazanzibari tunasema kua hauna faida kwetu sisi huu Muungano.. Na sio kma hatuutaki Muungano napenda niweke wazi kauli hii.. Kua Muungano huu usiokua na faida kwetu sisi hatuutaki lau kama ungekua na faida kwetu wazanzibari tusingepiga kelele, ila tutapiga kelele hadi viongozi wetu watakapokubali kua tunakua na muungano wenye faida kwa nchi zote mbili.
Labda nirudi kidogo nyuma ya pazia la muundo wa serikali yenyewe..mna mm tokea napata akili zangu sijapata kusikia hata siku moja kusikia kua Gavana katoka Zanzibar,sijasiia hata siku moja kusikia kua Mkuu wa jeshi la wananchi au jeshi la polisi kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia wakuuu wa NECTA kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia kua Tanzanite itakua suala la muungano ila nachosikia kua Mafuta ni ya muungano nk.. na ndio mna nasema kua muungano huu hatuutakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Ningependa kuongea kwa niaba ya wazanzibari wenzangu na hata wabara pia na wote wanaopenda amani katika Tanzania yetu hii..
Ni kipindi kirefu cc wazanzibari tulikua tunalia kuhusu huu Muungano kua hautunufaishi sisi wazanzibari maana jambo lenye faida hua halilizi ila linafurahisha na ndio mana cc wazanzibari tunasema kua hauna faida kwetu sisi huu Muungano.. Na sio kma hatuutaki Muungano napenda niweke wazi kauli hii.. Kua Muungano huu usiokua na faida kwetu sisi hatuutaki lau kama ungekua na faida kwetu wazanzibari tusingepiga kelele, ila tutapiga kelele hadi viongozi wetu watakapokubali kua tunakua na muungano wenye faida kwa nchi zote mbili.
Labda nirudi kidogo nyuma ya pazia la muundo wa serikali yenyewe..mna mm tokea napata akili zangu sijapata kusikia hata siku moja kusikia kua Gavana katoka Zanzibar,sijasiia hata siku moja kusikia kua Mkuu wa jeshi la wananchi au jeshi la polisi kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia wakuuu wa NECTA kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia kua Tanzanite itakua suala la muungano ila nachosikia kua Mafuta ni ya muungano nk.. na ndio mna nasema kua muungano huu hatuutakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.