Muungano huu hatuutaki

Dah kweli... maana hata mimi cjawahi kusikia rais/makamu wa rais wa zanzibar katoka bara na hilo hata silielewi kwa nini kwa kweli na wao wanakuwa makamu wa rais pamoja na vyeo vingine vikubwa kubwa.. Tanganyika yetu ni bora irudi tu kama ni mapenzi ya Mungu na zazibar ihamie uarabuni maana hao ndo wanawachanganya - mtumwa na mtwana. by the way hao wazenji wenyewe minyamwezi na misukuma na machinga kibao iliyokuwa mitumwa sasa wanajiona sijui ni waarabu?!! kweli waarabu wamewachanganya. Nasupport Tanganyika irudi lakini kama Mungu wa kweli anataka na si mungu wa kipagani...
wanachofanya hawa jamaa kwa waarabu ni sawasawa na wale watoto wanaokuwa sexually abused mpaka kufikia hatua ya kudhani ni wajibu wao kuwa abused...tuwaache watwana waende kwa mabwana zao kwa amani...
 
Awali ya yote kwanza napenda Kumsukuru Mwenyezi Mungu muumba Mbingu na Ardhi kwa kutufikisha siku kama ya leo tukiwa wazima na hata waliokua si wazima hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila kitu.

Ningependa kuongea kwa niaba ya wazanzibari wenzangu na hata wabara pia na wote wanaopenda amani katika Tanzania yetu hii..
Ni kipindi kirefu cc wazanzibari tulikua tunalia kuhusu huu Muungano kua hautunufaishi sisi wazanzibari maana jambo lenye faida hua halilizi ila linafurahisha na ndio mana cc wazanzibari tunasema kua hauna faida kwetu sisi huu Muungano.. Na sio kma hatuutaki Muungano napenda niweke wazi kauli hii.. Kua Muungano huu usiokua na faida kwetu sisi hatuutaki lau kama ungekua na faida kwetu wazanzibari tusingepiga kelele, ila tutapiga kelele hadi viongozi wetu watakapokubali kua tunakua na muungano wenye faida kwa nchi zote mbili..
Labda nirudi kidogo nyuma ya pazia la muundo wa serikali yenyewe..mna mm tokea napata akili zangu sijapata kusikia hata siku moja kusikia kua Gavana katoka Zanzibar,sijasiia hata siku moja kusikia kua Mkuu wa jeshi la wananchi au jeshi la polisi kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia wakuuu wa NECTA kutoka zanzibar, sijapata hata kusikia kua Tanzanite itakua suala la muungano ila nachosikia kua Mafuta ni ya muungano nk.. na ndio mna nasema kua muungano huu hatuutakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Poleni sana. Lakini mfahamu ukweli rahisi kuwa kama muungano utavunjika mtakuwa na wakati mgumu sana. Kuna faida nyingi ambazo hazionekani lakini tukitengana tu ndipo mtakapozifahamu. Halafu kuudai muungano kwani ni mpaka mchome moto makanisa? kwani maaskofu ndio walioleta muungano. Daini nchi yenu lakini kistaarabu.
 
Kama kuvunja muungano kutatatua matatizo kama rushwa, kupanda hovyo kwa bei za bidhaa(leo nimenunua mafuta ya taa kwa tshs 5000 kwa lita!), uongozi mbovu, upatikanaji wa nishati,udhaifu wa miundombinu n.k. nitakua tayari kuunga mkono jitihada hizo, tofauti na hapo itabidi nijifikirie kwanza. Hoja yangu ni kwamba Watanzania wenzangu tujifunze kuyaangalia matatizo tuliyonayo na namna ya kuyatatua badala ya kutafuta mengine ambayo ndio kwanza yanaonesha dalili zote za kutuongezea matatizo mengine.
 
Kama kuvunja muungano kutatatua matatizo kama rushwa, kupanda hovyo kwa bei za bidhaa(leo nimenunua mafuta ya taa kwa tshs 5000 kwa lita!), uongozi mbovu, upatikanaji wa nishati,udhaifu wa miundombinu n.k. nitakua tayari kuunga mkono jitihada hizo, tofauti na hapo itabidi nijifikirie kwanza. Hoja yangu ni kwamba Watanzania wenzangu tujifunze kuyaangalia matatizo tuliyonayo na namna ya kuyatatua badala ya kutafuta mengine ambayo ndio kwanza yanaonesha dalili zote za kutuongezea matatizo mengine.

Mkuu! hayo usiyahusishe kabisa na utaifa wangu kama mTg! Hata MMungu kaanza kuumba Utaifa ndipo ikafua kaweka utaratibu wa kuishi humo!
 
Waliochoma Makanisa watajulikanwa na mm nina imani kua waliochoma makanisa sio wale jumuiya ya MUAMSHO na kma ni wao waliochoma basi nitawaita wapumbavu mna hata mm sikubalini na kilichofanywa kwa hao rafiki zetu wa dini nyengine...ila ukweli ukidhihiri ubaya hujitenga na ukweli maisha yote huuma...na kuhusu suala kama sisi wazanzibari tukiondoka tutakufa na njaa ningependa kua sisi sio wa kwanza kufa kwa njaa kwani somalia na nyengine za afrika vp huko mbona hamushangai, na suala la nchi hii zanzibar ni nchi na itaendelea kua nchi mna mpaka umoja wa mataifa wanalijua hilo na tukiamua kudai kila kilicho chetu mbona hamuna pa kukimbilia mna kihistoria sisi tumeanza kutambulikanwa mwanzo kuliko nyinyi tanganyika...............................ZANZIBAR MBELE DAIMA...........................MUUNGANO TUUTAKAO UWE NA FAIDA KWA PANDE ZOTE MBILI..............MUNGU IBARIKI JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR, MUNGU IBARIKI JAMHURI YA WATU WA TANGANYIKA,MUNGU IBARIKI TANZANIA TUITAKAYO NA MUUNGANO TUUTAKAO.....AMIIIIIIIIIIIIIINNNNNNNNNNNNNN....
 
Ngojea nikufahamishe kitu kidogo mdogo wangu.....kwamba sisi Waislamu tumefundishwa kua kila jambo jema lazima umtangulize Mungu mbele na nina imani kua utaelewa mantiki yangu ya kusema ivo la kama hujaelewa nenda kwenye biblia yako itakuambiaje...
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom