Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,801
Habarini wakuu.
Mimi ni kijana wa Kitanzania, umri wangu miaka 24, ninayetegemewa na wazazi wangu kwa hali na mali, Nimekuwa nikijishughulisha pia na vibiashara vya hapa na pale baada ya kumaliza chuo mwaka huu course ya Nursing and Midwifery.
Kwahiyo nikaona nije huku nikutane na watu naweza pata msaada wa connection. Hivyo ndugu zangu kama unaijua zahanati, kituo cha afya,hospital,shirika au taasisi ziwe za serikali au binafsi zinahitaji mtu kama mimi naomba unisaidie kunijulisha ili nijikomboe katika jambo hili.
Na Hata kama kuna mtu humu anahitaji kufanya kazi na mtu kama mimi basi nipo hapa, na wala hatojutia, Natanguliza shukurani.
NB:Ninaweza kufanya kazi yoyote ile halali nikipata maelekezo namna ya kuifanya, sichagui, kikubwa nipate uwezo wa kujihudu mk ia na kuhudumia familia.
Nipo Mwanza.
Mimi ni kijana wa Kitanzania, umri wangu miaka 24, ninayetegemewa na wazazi wangu kwa hali na mali, Nimekuwa nikijishughulisha pia na vibiashara vya hapa na pale baada ya kumaliza chuo mwaka huu course ya Nursing and Midwifery.
Kwahiyo nikaona nije huku nikutane na watu naweza pata msaada wa connection. Hivyo ndugu zangu kama unaijua zahanati, kituo cha afya,hospital,shirika au taasisi ziwe za serikali au binafsi zinahitaji mtu kama mimi naomba unisaidie kunijulisha ili nijikomboe katika jambo hili.
Na Hata kama kuna mtu humu anahitaji kufanya kazi na mtu kama mimi basi nipo hapa, na wala hatojutia, Natanguliza shukurani.
NB:Ninaweza kufanya kazi yoyote ile halali nikipata maelekezo namna ya kuifanya, sichagui, kikubwa nipate uwezo wa kujihudu mk ia na kuhudumia familia.
Nipo Mwanza.