Musukuma: Nilikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu. Alifilisika na kuuza ngano 'inayoharibika'

Sasa huo ndio ujangili? magendo hatujaanza leo jamaa mkweli na hizo biashara mpaka leo watu wanafanya, na kama sote tutakuja hadharani na kuwa wa kweli tumepata wapi mali zote tutaishia jela hakuna msafi humu wewe wala mimi hakuna. Wewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
Kwahiyo leo nikikiri kuwa nilimuua mtu fulani niachwe kisa nimekiri?
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast
Anajaribu kujustify hela alizohongwa na mwarabu

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast

Hivi jinai ina ukomo?

Akamatwe huyu hapo hapo studio na washirika wake kokote waliko na bila kuchelewa.

Kwamba DPP, mahakama au polisi wanasubiri au kuhitaji ushahidi upi?
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast
Hapa ndipo CCM walipotufikisha. Kwamba wizi sio issue ya kughofya tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom