Kwahiyo leo nikikiri kuwa nilimuua mtu fulani niachwe kisa nimekiri?Sasa huo ndio ujangili? magendo hatujaanza leo jamaa mkweli na hizo biashara mpaka leo watu wanafanya, na kama sote tutakuja hadharani na kuwa wa kweli tumepata wapi mali zote tutaishia jela hakuna msafi humu wewe wala mimi hakuna. Wewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
Anajaribu kujustify hela alizohongwa na mwarabuMbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Power breakfast
Unajifunza utapeli tupuHivi ukimsikiliza Musukuma unajifunza kitu gani?!
Huyo jamaa kwangu huwa ni bogus tu, anayetumiwa na wajanja kwa manufaa yao, tena wakati mwingibe hata kuweka rehani maslahi ya taifa.
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Power breakfast
Sasa wewe na wewe huo nao mfano? unaongea vitu viwili tofauti.Kwahiyo leo nikikiri kuwa nilimuua mtu fulani niachwe kisa nimekiri?
Hapa ndipo CCM walipotufikisha. Kwamba wizi sio issue ya kughofya tena.Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Power breakfast
Akamatwe na nani sasa?.hivi wewe bado unaamini mambo ya hii nchi?Hivi jinai ina ukomo?
Akamatwe huyu hapo hapo studio na washirika wake kokote waliko na bila kuchelewa.
Kwamba DPP, mahakama au polisi wanasubiri au kuhitaji ushahidi upi?
KamkamateAkamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji
We naye kaibe uone kama rahisiAnamtembelea Gari ya 400M kumbe JIZI
404: Page Not Found
Uthibtisho gani mtakuwa nao wa kumtia hatiani?Jamaa ana ukwasi wa kutosha kumbe alikuwa mwizi!!!
Hivi jinai si huwa haifi au kwa sababu ni ccm?
Hakuna huo utaratib kwa wanaccm!!Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji