Musukuma: Nilikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu. Alifilisika na kuuza ngano 'inayoharibika'

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,474
7,894
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi kwakuwa alionekana kama mtoto japo alikuwa na mtoto mmoja tayari.

Kishimba
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Kufilisika
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana. Alipotoroka alitelekeza familia na kuwa shoe shine Korongwe pamoja na kwamba alishakuwa mfanyabiashara mkubwa namba 3 Mwanza.

Kuibuka tena
Msukuma amesema kuna mfanyabiashara mpakistan alimsaidia wakati ana duka Mwanza, alileta ngano na TRA ikaishikilia na mpaka anafanikiwa kuitoa ilishaanza kuharibika. Ilipotoka akamtafuta msukuma ambae alifanya 'namna' ikauzwa nje. Msukuma amesema ile ngano alikopeshwa kwa miezi mitatu lakini alipouza tu alimlipa mhusika ndani ya siku 5.

Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
 
Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast
Wameanza kutaja siri zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ana mambo mengi sana ya kishirikina naona anaanza kufunguka polepole. Tutasikia mengi.
Mwezi February mwaka huu, Serikali ya Tanzania ilisaini hati ya makubaliano (MOU) na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kutusaidia kuendeleza misitu yote nchini, inayosimamiwa na Wakala wa misitu (TFS). Yani waarabu wanaoishi Jangwani wanatusaidia kuendeleza misitu. Kwanini wasipande misitu kule kwao waondokane na Jangwa?

Nadhani kwenye suala la misitu sisi ndio tulitakiwa tuwasaidie waarabu sio wao watusaidie sisi. Sisi tuna misitu ya asili na misitu ya kupanda. Tuna mapori ya akiba na mapori tengefu. Tuna misitu ya mvua (Rain forest) misitu ya minene (tropical thick forest), na misitu hafifu (broadleaf forest). Yani kwa kifupi kuhusu misitu, mapori na masuala ya miti na utunzaji wake, hakuna wa kutuambia kitu. Tupo vizuri.

Waarabu wao ndio wanatakiwa waje wajifunze hapa kwetu kuhusu misitu. Na sisi ndio tunapaswa tuwasaidie ili waweze kuwa na misitu kule kwao au hata mapori ya akiba. Lakini eti wao ndio wanatusaidia sisi kuendeleza misitu? Yani watu wasio na msitu hata mmoja wana kipi cha kutusaidia sisi ambao tuna misitu na mapori kila wilaya? Hii ndio mara ya kwanza nasikia Mzaramo anataka kumfundisha Mmasai kuhusu ufugaji wa ngombe. Apaaa ndenga.


==========

UAE, Tanzania sign MoU on promoting forest conservation

Blue Carbon UAE based entity and the Government of Tanzania through Tanzanian Forest Services Agency (TFS) have signed a Memorandum of Understanding marking the start of a collaboration aimed at promoting sustainable forest management practices and reducing greenhouse gas emissions. Dubai under the chairmaship of King Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum.

Dr. Jafo has said this is the first time for such an agreement after the Vice President’s Office in collaboration with various stakeholders completed the preparation of guidelines for the carbon trade in October 2022.

He said that the signing of the agreement will open the doors for citizens to plant trees in abundance and take care of the environment so that they can enter the business.

"It is our belief that we will now rely on having many opportunities as well as restoring the damaged environment and we see that even mangroves are also entering the carbon market, so TFS will now have a wide field to ensure that our forests are protected," he said.

Speaking during the signing ceremony of the agreement, the King Al Maktoum who accompanied his dellegation said the partnership will focus on supporting the government's efforts to conserve, manage and register its forest resources of 8 million hectares in first phase 1 including 56,000 hectares of mangroves and sell these credits under Article 6 of the the Paris Agreement.

This will strengthen the partnership between the two countries, in developing new carbon offset projects to support decarbonization targets.

Commenting on the visit, Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, the Founder and the Chairman of Blue Carbon said, “We are honored to sign this MoU with the Government of Tanzania. This collaboration represents an important step towards promoting sustainable forest management practices and fighting the climate change.”
On his part, Minister of Natural Resources and Tourism Ambassador Dr. Pindi Chana has called on the people to ensure that they plant mit in abundance especially during this rainy season so that it can grow and enter the carbon business.

She said that our country has been blessed with an area of approximately 48.1 million hectares with forests that have been very beneficial to its citizens in their daily lives.

"If we take care of our forests, we will get many benefits because we see that water sources depend on forests, many sectors depend on trees such as agriculture, health, construction, sanitation, so it is important to protect and preserve forests," she emphasized.

And the Conservation Commissioner for TFS Prof. Dos Santos Silayo has said that the time has come for developed countries to contribute to countries that continue to reduce greenhouse gases.

He said that the signing of the agreement with Blue Carbon is the beginning of the implementation of these activities where the company will start the registration process to comply with the instructions.

Prof. Silayo has given inspiration to developing countries to prioritize the preservation of forests in order to lay the foundation for areas that can focus on carbon trading, which has become an alternative to economic activities at the moment.

Source: VPO | News

Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast

Haha huyu jamaa huyu

Video au audio evidence please

404: Page Not Found

Tupe Link tukasome

Namsikiliza hapa

Yuko radioni

Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast
wasukuma ni matapeli na wanafiki sana
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Power breakfast
Mtu anakiri ujangili anaachwa huyu alipwaswa akamatwe haraka
 
Mtu anakiri ujangili anaachwa huyu alipwaswa akamatwe haraka
Sasa huo ndio ujangili? magendo hatujaanza leo jamaa mkweli na hizo biashara mpaka leo watu wanafanya, na kama sote tutakuja hadharani na kuwa wa kweli tumepata wapi mali zote tutaishia jela hakuna msafi humu wewe wala mimi hakuna. Wewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom