Musukuma aitaka Serikali kufungua viwanda ilivyofunga

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ameitaka Serikali kufungua Viwanda ilivyofunga akisema wengine walionyang'anywa wana uwezo, na waliosababisha Viwanda vifungwe ni Serikali kushindwa kulinda Soko la Ndani

Amesema, "Nikuombe Waziri, dhambi hii ya kupora vitu vya watu isikuangukie mikononi mwako. Kama Serikali imeanza kufungua Akaunti, kaa na Katibu wako mfungue hivyo Viwanda. Wapeni muda mambo yaendelee"
 
SARCASM!
1621686372841.png
 
K
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ameitaka Serikali kufungua Viwanda ilivyofunga akisema wengine walionyang'anywa wana uwezo, na waliosababisha Viwanda vifungwe ni Serikali kushindwa kulinda Soko la Ndani

Amesema, "Nikuombe Waziri, dhambi hii ya kupora vitu vya watu isikuangukie mikononi mwako. Kama Serikali imeanza kufungua Akaunti, kaa na Katibu wako mfungue hivyo Viwanda. Wapeni muda mambo yaendelee"
Kila ninapopita nje ya kiwanda cha tumbaku Morogoro na kiwanda cha Mazava Msamvu, huwa nabubujikwa na machozi. Ifike mahali nchi ipitishe sera ya kuwapima watia nia wetu kama "they are upstairs ok"
 
K

Kila ninapopita nje ya kiwanda cha tumbaku Morogoro na kiwanda cha Mazava Msamvu, huwa nabubujikwa na machozi. Ifike mahali nchi ipitishe sera ya kuwapima watia nia wetu kama "they are upstairs ok"
Ila kiko mbioni mwakani kinaanza msimu kwani Mwaka huu wamechelewa,

Yule Boss aliyepanda private Jet kuja kumuona JPM na Mama akawakabidhi wamsaidie wakamtosa ndiye Mama aliyemzungumzia kwenye Speech yake
 
Lile pepo linaachia polepole.
Hivi ilikuwaje Nyerere alikuwa na viwanda vingi kuliko marais wote waliofuata? Basi kam ni kubinafsisha kwa nini vyote vimekuwa magodown . No wonder Nyerere anatukuzwa hadi leo. Wakati fulani aliwaambia mimi nashangaa hamuendelezi mema niliyoacha bali mnaendeleza ya ovyo tu, na kuacha memaniliyoacha. Nyerere alistaafu gdp ya Tanzania ilikuwa kubwa kuliko Kenya 1984. Baada ya hapo Kenya anatuburuza mpaka lini ,sijui. Kweli marais waliofuata wamekunbatia ulanguzi tu lakini viwanda hamna kabisa. Nyerere alijenga TAZARA standard gauge ile ujue ila sio ya umeme. Kulikuwa na viwanda vya nguo tunatumia 35 per cent (au 65 nikumbusheni . Leo kila nguo ni kutoka China. Shida ya viongozi baada yake hawana uchungu na maendeleo, ni ubinafsi.kwenda mbele Hakuna maelezo kwa nini viwanda vya Mwatex, Mutex, polytex ya Moro, Mbeyatex, Urafiki, vyote wameruhusu vife?. Shida inaanzia kuwaamini mabepari wa Tanzania ambao hata mtaji hawana ni shida ,halafu akionyesha KUSIMAMIA ,serikali inaruhusu watu wanaoangiza cheap materials halafu na kodi hawalipi. Hakuna mwenye utashi wa maendeleo ya kweli ya Tanzania kama Nyerere ,JPM alitaka kujaribu lakini naye ana madudu yake sidhani kama angefika mbali. Ikitokea mama Samia akaharmonize private sector ikashirikiana na Serikali kufufua viwanda vikalindwa,ila si kwa gharama ya kuumiza mlaji , she will make a good president ila mama naye anaangalia kwao zaidi kwa gharama ya kuumiza bara. Ila nawapongeza marais walipoita ,at least we have survived as a nation kama marehemu Nyerere alivyokuwa akiwajibu wazungu walipomdhihaki eti hajafanya kitu baada ya uhuru. Lakini ukweli kabisa Kenya haistahili kutuburuza kea gdp kama tungekuwa na utashi wa kujiendeleza. We are lacking something somewhere hasa uongozi bora ndiyo nakisi kubwa kea Tz.
 
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ameitaka Serikali kufungua Viwanda ilivyofunga akisema wengine walionyang'anywa wana uwezo, na waliosababisha Viwanda vifungwe ni Serikali kushindwa kulinda Soko la Ndani

Amesema, "Nikuombe Waziri, dhambi hii ya kupora vitu vya watu isikuangukie mikononi mwako. Kama Serikali imeanza kufungua Akaunti, kaa na Katibu wako mfungue hivyo Viwanda. Wapeni muda mambo yaendelee"
Hakuliona hili kipindi cha mwendazake? Ameacha kilinda legacy?
 
Duuuuuu....Hawa si ndio walikuwa wanasema awamu ya tano inatetea wanyonge? Sasa mlifungaje viwanda Tena? Pale tumbaku morogoro walikuwa wameajiriwa wanyonge wengi Sana mkaona mfunge kiwanda ndio namna ya kuwasaidia au
 
Back
Top Bottom