beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma ameitaka Serikali kufungua Viwanda ilivyofunga akisema wengine walionyang'anywa wana uwezo, na waliosababisha Viwanda vifungwe ni Serikali kushindwa kulinda Soko la Ndani
Amesema, "Nikuombe Waziri, dhambi hii ya kupora vitu vya watu isikuangukie mikononi mwako. Kama Serikali imeanza kufungua Akaunti, kaa na Katibu wako mfungue hivyo Viwanda. Wapeni muda mambo yaendelee"
Amesema, "Nikuombe Waziri, dhambi hii ya kupora vitu vya watu isikuangukie mikononi mwako. Kama Serikali imeanza kufungua Akaunti, kaa na Katibu wako mfungue hivyo Viwanda. Wapeni muda mambo yaendelee"