Bongo Trust
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 252
- 241
Nisamehe kama nimekukwaza brother, haikua lengo langu kukukwaza bali hatufanani katika hali za maisha na utafutaji wa riziki.Acha urafi wa Pesa umeshindwa kutoa Bure mpaka ulipishe watu?..? Kwanza istoshe wewe mwenyewe umeipata Bure sasa hiyo tamaa yakulipisha watu unatolea wapi mKuu
Ntakucheki mkuuYeah ni yakwenye simu, ila android tu.
Nisamehe kama nimekukwaza brother, haikua lengo langu kukukwaza bali hatufanani katika hali za maisha na utafutaji wa riziki.
Mungu akubariki
No. 2 inakuja adui ndo yeyeSio Muziki tu Snoop Dog ametisha sana humuuu View attachment 2339687
Kwanini adui awe yeye???No. 2 inakuja adui ndo yeye
Yeah aling'atwa mwishoni.Kwanini adui awe yeye???
Aling'atwa???
Serial six..Wale wazee wa Action Movies za kijasusi, mzigo huo utanishkuru baadae!View attachment 2343006
Jamaa anatembeza kichapo mwanzo mwishoSerial six..
Anapiga kinoma..
Mkuu naiombaKama unataka njoo nikupe Bure ule Raha za dunia mKuu.
Upo telegram?..?Mkuu naiomba
Yes broUpo telegram?..?
Nipo naangalia Carter hapa kwanza ipo overrated, uongo uongo aisee sio poa jamaa jinsi anapigana na wale ma agents kwenye zile minivans tatu na kwa wale wa mapikipiki yani hakuna uhalisia plus camera haijatulia mara inabinuka hivi mara vile, mara ipinde hivi, unajikuta unatamani hata uinamishe tv ili uone vizuri na hapa ndio waliponichosha mpaka zile action zinaisha nmehisi kizunguzunguNi ya kawaida Sana computer imetumika Sana story yake pia haina mvuto ukiicheki trailer lake Unaweza kudhani bonge la movie ukiangalia kabisa full unaona uhalisia ni overrated Sana si Bora uicheki ya mwanangu donnie yen inaitwa Ranging fire
Na mie naomba niko telegramUpo telegram?..?