Muslim universities

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,904
Reaction score
7,746
Wadau naomba kujua, Muslim Universities zipo kwenye nchi gani zingine mbali na Tanzania?
Na zenyewe zinaendeshwa kama huku kwetu Tanzania kwamba hata enrollment imekaa kibaguzi?
Waalimu wao wana sifa zipi au kama huku kwetu Tanzania ambapo karibu wote ni toutorial assistants.
Na wao wana majengo ya kupewa au wamejenga ya kwao?
 
Hao ndio mabingwa wa chuki na ubaguzi,yaliyotekea N.sudan na s.sudan wanayatengeza hapo morogoro! chuo chenyewe walipewa haya tutawaona mwisho wao kama si Anguko kuu kwanza hawana uzoefu kwa kuendesha mambo ya elimu , shule zao ni uozo!
 
<br /> <br / huna jipya wewe umekazana na chapter 8 chapter 8 inamaana kila anayepinga hoja yk ni cmd? Unamawazo mafupi km maisha ya funza
 
wakuu naomba kujua kama hizi muslim universities wana maprofessor waislam au wanategemea wa kikristo??na kama wapo naomba sifa zao

uwezo wako tu ndio shida!!!kilaza sio darasani tu
 
chapter 3 ya kozi yetu tumeambiwa wafuasi wa Cdm WANAONGOZA KWA KUKASHIFU UISLAM jf. lkn ccm haijatwambia wao wanasifa kama hiyo.
ukimuona ccm humu eti wanyenyekevu sana wanaogopa ban
aseee, karibu MCHANGIA CHAEEMA!!
 
Hao ndio mabingwa wa chuki na ubaguzi,yaliyotekea N.sudan na s.sudan wanayatengeza hapo morogoro! chuo chenyewe walipewa haya tutawaona mwisho wao kama si Anguko kuu kwanza hawana uzoefu kwa kuendesha mambo ya elimu , shule zao ni uozo!

..... Je wajua ya kuwa au hujui tukuambie kuwa, mpaka wa South na North Sudan uliwekwa na Waingereza wakati wanaitawala Sudan ?!
.... Je wajua ya kuwa au hujui tukuambie kuwa Waingereza waliweka Marufuku ya waSouthern wasipande kabisa North ili wasiingie katika Uislaam (Divide and rule !)!?
.... Je wajua ya kuwa au hujui tukuambie kuwa Mabeberu mbinu hii wameitumia Korea Kaskazini na Kusini, Ujerumani Magharibi na Mashariki !
?
 
Hao ndio mabingwa wa chuki na ubaguzi,yaliyotekea N.sudan na s.sudan wanayatengeza hapo morogoro! chuo chenyewe walipewa haya tutawaona mwisho wao kama si Anguko kuu kwanza hawana uzoefu kwa kuendesha mambo ya elimu , shule zao ni uozo!

........... Mzee vp ! tuwarudishie majengo yenu !? .............. tukisoma taabu, tukiacha tukaenda zetu Madrasa taaabu !? ....... khaaah ! watu mna wivu na choyo nyie !
 
Hao ndio mabingwa wa chuki na ubaguzi,yaliyotekea N.sudan na s.sudan wanayatengeza hapo morogoro! chuo chenyewe walipewa haya tutawaona mwisho wao kama si Anguko kuu kwanza hawana uzoefu kwa kuendesha mambo ya elimu , shule zao ni uozo!
wewe ndugu yangu nikikutana na post yako humu JF, huwa naona vitu wiwili kusifia CDM na kuponda Uislam,
JF, kwako ni uwanja wa Mapambano dhidi ya Uislam, kweli kina MS wapo wengi humu JF
 
Hao ndio mabingwa wa chuki na ubaguzi,yaliyotekea N.sudan na s.sudan wanayatengeza hapo morogoro! chuo chenyewe walipewa haya tutawaona mwisho wao kama si Anguko kuu kwanza hawana uzoefu kwa kuendesha mambo ya elimu , shule zao ni uozo!

sharmoot &*^%$& , :angry: you know nothing about Muslims & Islam ....
 


Alaaaa kumbe South Korea wasiende North Korea wasije kuwa Waislam vivyo hivyo West Germany wasiende East Germany wasije kuwa Waislam....hivi elimu za design hii huwa mnafundishana saa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…