Musichana Murembo kama nini........!

Jamani leo nimemkumbuka Daudi Kabaka, enzi hizo ndio nilikuwa namchumbia mama Ngina wangu………………..

Hebu sikiliza huu wimbo basi……………………..LOL

Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha, hata Ng'ambo ukaenda ukarudi

Tara tata tara tata tarata tarattraaaaaaaaaaa………………. X 2

Musichana wa urembo kama weweee, uonyesheee mapenzi kwa vijana
Ukionyesha majivuno kwa vijanaaa utazeeka ukiwa nyumbani kwenu

Oooh baby

Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka

Oooh baby.............

Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka

Tala talaaa tili li liiiiiiiiii Tala talaaa tili li liiiiiiiiii x 3

Pengine tabia zako ndizo mbaya, awali kweli dada ulijivuna
Kwanza mimi nilitaka nikuoee, ukaringa hadithi na masomo

Oooh baby.............

Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika

Oooh baby...........

Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika

Tara tat ta ta tat a ta t taaaaaaaaaaa x 4

Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha hata ng'ambo ukaenda ukarudiiiiiiii

****Nawatakieni weekend njema..............................****
Shikamoo baba!
 
View attachment Samba Mapangala - Marina.mp3

Na nyengine hiyo kaka. Sijui hawa kizazi kipya waliwajibu wale zilipendwa wa Musichana Murembo? Mie huzisikiliza hizi na wanangu hucheka sana wakatikisa vichwa wakiziona hazifai, kisha huniwekea za kwao, mdundo wa computer (kumbuka zimerekodiwa studio) hadi kuta zinatikisika "Ndu, Ndu, Ndududu!" wakisema hizo ndizo nzuri ati muziki umechujwa vema. Nawaambia hata hiyo miziki yao wameigiza ustadi wa wale watu kwa vyombo vyote wakaviweka kwenye computer. But enzi hizo watu walizaliwa na vipaji vya kukung'uta vyombo vya muziki. Haya kaka, burudika ukitaka ingine kama ninayo sema nikushushie.
 

Attachments

  • Samba Mapangala - Vunja mifupa.mp3
    5.2 MB · Views: 33
View attachment 39576

Na nyengine hiyo kaka. Sijui hawa kizazi kipya waliwajibu wale zilipendwa wa Musichana Murembo? Mie huzisikiliza hizi na wanangu hucheka sana wakatikisa vichwa wakiziona hazifai, kisha huniwekea za kwao, mdundo wa computer (kumbuka zimerekodiwa studio) hadi kuta zinatikisika "Ndu, Ndu, Ndududu!" wakisema hizo ndizo nzuri ati muziki umechujwa vema. Nawaambia hata hiyo miziki yao wameigiza ustadi wa wale watu kwa vyombo vyote wakaviweka kwenye computer. But enzi hizo watu walizaliwa na vipaji vya kukung'uta vyombo vya muziki. Haya kaka, burudika ukitaka ingine kama ninayo sema nikushushie.

We mkali na kuku bali... Ijumaa njema
 
Nice song....
Ni kweli kwamba majivuno mara nyingi hayalipi.Yanafanya watu wakukwepe.
 
View attachment 39576

Na nyengine hiyo kaka. Sijui hawa kizazi kipya waliwajibu wale zilipendwa wa Musichana Murembo? Mie huzisikiliza hizi na wanangu hucheka sana wakatikisa vichwa wakiziona hazifai, kisha huniwekea za kwao, mdundo wa computer (kumbuka zimerekodiwa studio) hadi kuta zinatikisika "Ndu, Ndu, Ndududu!" wakisema hizo ndizo nzuri ati muziki umechujwa vema. Nawaambia hata hiyo miziki yao wameigiza ustadi wa wale watu kwa vyombo vyote wakaviweka kwenye computer. But enzi hizo watu walizaliwa na vipaji vya kukung'uta vyombo vya muziki. Haya kaka, burudika ukitaka ingine kama ninayo sema nikushushie.

You have made my day kwa kweli............. Unajua hizi nyimbo hazichuji bana........... kuna wakati nasikiliza Franco Luambo Luanzo Makiadi au Abeti Masikini, mpaka machozi hunitoka...............................

Siku hizi mtu anaingia studio hata hajui atarekodi wimbo gani, akitengenezewa biti tu anakurupuka...............

Yo yo yo yo.... mimi hapa mtambuzi
Natambua wengi hamjitambui...........
hata mkila tambuu..........
kamwe hamjitambui
Yeah nawakilisha pande za Ukonga aka UK........ mwanangu...........LOL

Ndio wimbo umeisha hivyo.............
 
Digna, hawa waliibilizia bana, nataka ule orijino kabisa.....................

Mhhh, orijino mwenzio sikuwepo, nilizikuta ziko hewani nikaambulia kupata za walioigilizia. Labda wa enzi hizo kama watakuwa nazo zile orijino.
 
Huu wimbo mbona ni wa zamani (kuna thread umesema ulikuwa una miaka 16 mwaka 1987) ....mwaka gani unaouzungumzia kama "enzi hizo ukimchumbia mama Ngina"
 
Kuna thread humu iliyokuwa inajadili kwanini wanawake warembo wanatembezewa sana lakini hawaolewi.
 
mkuu umegonga ikulu.umemlenga moja kwa moja HUSNINYO.utamfanya alie.mia...mia...mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom