Music system kujizima nkiongeza sauti

Music system kujizima nkiongeza sauti

JAXPAROW95

Member
Joined
Feb 7, 2016
Posts
71
Reaction score
27
Habari wakuu, tatizo langu ni kwamba kila nkiwa napiga mziki kwenye redio yangu nikaongeza sauti tu basi inakata sauti yote hadi nichomoe power plug alaf nirudishe tena, sijajua tatizo nini ingawa ilikuwa inapiga music vizur sauti hadi 60 ila sahivi hata 30 utata.
subwoofer zake ziko mbili kila moja ni 8 ohms. Naambatanisha na picha
 

Attachments

  • photo_2018-02-28_21-57-30.jpg
    photo_2018-02-28_21-57-30.jpg
    15.8 KB · Views: 55
Habari wakuu, tatizo langu ni kwamba kila nkiwa napiga mziki kwenye redio yangu nikaongeza sauti tu basi inakata sauti yote hadi nichomoe power plug alaf nirudishe tena, sijajua tatizo nini ingawa ilikuwa inapiga music vizur sauti hadi 60 ila sahivi hata 30 utata.
subwoofer zake ziko mbili kila moja ni 8 ohms. Naambatanisha na picha
Kwanza hiyo music system yako kujizima ni protection yake tosha, angalia baadhi ya spika zako labda kuna baadhi zilikaribia kuungua na hivyo resistivity yake kuwa ndogo, ndipo inapopelekea kukata mziki na kujizima, pili angalia inatumia stk au Transistor, kama ni stk mara nyingine inakuwa tayari stk imeshaharibika ila haijaharibika kabisa, kiasi kwamba ikibadilishwa na kuwekwa nyingine mambo yanakuwa safi kama mwanzo.
 
Kwanza hiyo music system yako kujizima ni protection yake tosha, angalia baadhi ya spika zako labda kuna baadhi zilikaribia kuungua na hivyo resistivity yake kuwa ndogo, ndipo inapopelekea kukata mziki na kujizima, pili angalia inatumia stk au Transistor, kama ni stk mara nyingine inakuwa tayari stk imeshaharibika ila haijaharibika kabisa, kiasi kwamba ikibadilishwa na kuwekwa nyingine mambo yanakuwa safi kama mwanzo.
Nimecheki naona ina resistors zimefungwa kwenye heat sink lakin hizo stk sizifahamu kabisa hata muonekano, pia nmejaribu ku disconnect speakers za pembeni lakin bhado tatizo
 
Nimecheki naona ina resistors zimefungwa kwenye heat sink lakin hizo stk sizifahamu kabisa hata muonekano, pia nmejaribu ku disconnect speakers za pembeni lakin bhado tatizo
Resistors zimefungwa kwenye heat sink? Toba, hakuna kitu kikubwa kama kipande cha mkaa? Au transistors nazo unazifahamu?
 
Na je kwenye connection za output inatumia relay system?
 
Hiyo badalisha capacitor za filter hizo zenye microfarad kubwa kuanzia 2000 au 4200 nazani zitakuwa za 35V au 50V ukibadilisha hizo tatizo litakishwa maana zikichoka ndio hua zinafanya hivo unapoongeza sauti inakata
 
Hiyo badalisha capacitor za filter hizo zenye microfarad kubwa kuanzia 2000 au 4200 nazani zitakuwa za 35V au 50V ukibadilisha hizo tatizo litakishwa maana zikichoka ndio hua zinafanya hivo unapoongeza sauti inakata
Nashukuru kiongozi ntajaribu alaf nkifanikiwa ntaleta mrejesho hapa
 
Hiyo badalisha capacitor za filter hizo zenye microfarad kubwa kuanzia 2000 au 4200 nazani zitakuwa za 35V au 50V ukibadilisha hizo tatizo litakishwa maana zikichoka ndio hua zinafanya hivo unapoongeza sauti inakata
Duh sio mchezo, mi pia nina subwoofer yangu ya sea piano ilikula mzinga wa capacitor baada ya umeme kukata na kurudi kama mara 10 ikawa haitoi bass. Baada ya kung'oa capacitor na kuweka mpya mambo ikawa bam bam hadi leo iko mwake mwake.
 
Nimekuta kuna capacitor ya 25V 4700 imevimba kwa juu nmebadili, bhado tatizo nikaamua ku disconnect waya za main speakers(2 subs) zile za pembeni zimeimba vizuri kabisa kwa sauti, nikajaribu kupima continuity kwenye hizo subs naona kuna continuity sasa sijui ni coil ya speaker mojawapo ina fault au laah, na je kama ina fault kuna uwezekano wa ku repair speaker na gharama zake zikoje?
mkuu Transistor naomba pitia hapa
 
Ndugu, ni ndani kwenye circuit.
nmezichomoa speaker kwenye circuit board nikazipima zenyewe continuity ili nijue kama coil za ndani zimeungua zikagusana ndo nikakuta inasoma continuity au huwa ni kawaida wa speaker
 
nmezichomoa speaker kwenye circuit board nikazipima zenyewe continuity ili nijue kama coil za ndani zimeungua zikagusana ndo nikakuta inasoma continuity au huwa ni kawaida wa speaker
Upo wapinikusaidie kutatua tatizo lako? Kama ni Dar sawa.
 
nmezichomoa speaker kwenye circuit board nikazipima zenyewe continuity ili nijue kama coil za ndani zimeungua zikagusana ndo nikakuta inasoma continuity au huwa ni kawaida wa speaker
Kwenye speaker usipime kwa kupitia continuity, itasoma kawaida. Pima kwa kupitia ohms kama inavyoonekana, kama ni ohms 4, 6, 8 nk.
Continuity huwa inasoma ikiwa ni chini ya 75ohms so hakuna speaker yenye ohms hizo lazima itasoma kama short.
 
nmezichomoa speaker kwenye circuit board nikazipima zenyewe continuity ili nijue kama coil za ndani zimeungua zikagusana ndo nikakuta inasoma continuity au huwa ni kawaida wa speaker
pima kati ya coil terminal mojawapo na housing yake, inatakiwa isilie
 
Luh!Ina maana ukimiliki music system lazima ujue sijui transistors,coil n.k?Au hapa ni mafundi redio ndio mnajadiliana?
Zile music system za Japan,ulaya na America siku hizi zi wapi?Naona mchina anatumaliza tu na vitu feki
 
Kwenye speaker usipime kwa kupitia continuity, itasoma kawaida. Pima kwa kupitia ohms kama inavyoonekana, kama ni ohms 4, 6, 8 nk.
Continuity huwa inasoma ikiwa ni chini ya 75ohms so hakuna speaker yenye ohms hizo lazima itasoma kama short.
Nimekuelewa kiongozi
 
Luh!Ina maana ukimiliki music system lazima ujue sijui transistors,coil n.k?Au hapa ni mafundi redio ndio mnajadiliana?
Zile music system za Japan,ulaya na America siku hizi zi wapi?Naona mchina anatumaliza tu na vitu feki
Mimi siyo fundi redio hata kidogo ila nina ujuzi na basic electronics ambayo nmesoma darasani kama msingi wa engineering course yoyote ile
 
Back
Top Bottom