Museveni alimdanganya Samia, uchaguzi Uganda umeisha hatujaona akiua maelfu

Museveni alimdanganya Samia, uchaguzi Uganda umeisha hatujaona akiua maelfu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,411
Kisa;

Hapo zamani za siku hizi, kulikuwa na wanawake wawili mmoja mwerevu na mwigine mpumbavu, walikuwa wanataka kuvuka mto, wote walikuwa wamebeba watoto mgongoni, mpumbavu alibeba mtoto wake lkn mwerevu alibeba jiwe kama mtoto, mwerevu kamwambia mpumbavu ili tuvuke huu mto lazima tuwatupe watoto wetu mtoni, mpumpavu akakubali hakujua kuwa mwenzake alikuwa kabeba jiwe.

Duniani kuna Madikteta werevu/wajanja na kuna madikteta wapumbavu.

Wakati wa uchaguzi Museven alileta wanajeshi nchini ili kumsaidia Samia, wale wanajeshi waliua maelfu ya Watanzania, leo Museveni kashinda uchaguzi pasipo kuua watu wake kama mwenzake.

Mwenye akili na akili zake mpumbavu na mzigo wake.
 
MLAUMUNI MANGE KIMAMBI ALIYEWADANGANYA KUWA JESHI LINAONGEA NAYE KILA SIKU , LIMESHAKUBALI KUPINDUA NCHI KAMA KUVUA CHUPI YAKE, NI NYUMBU TU WAINGIE BARABARANI MENGINE YEYE ATAMALIZA NA WANAJESHI na machizi , majambazi , majinga , majangili, vibaka wakaingia , wakaonywa wakashupaza shingo sasahivi wamekuwa mbolea na tumeshawasahau na ugali unashuka vizuriii kabisa na bia baridiiii
 
MLAUMUNI MANGE KIMAMBI ALIYEWADANGANYA KUWA JESHI LINAONGEA NAYE KILA SIKU , LIMESHAKUBALI KUPINDUA NCHI KAMA KUVUA CHUPI YAKE, NI NYUMBU TU WAINGIE BARABARANI MENGINE YEYE ATAMALIZA NA WANAJESHI na machizi , majambazi , majinga , majangili, vibaka wakaingia , wakaonywa wakashupaza shingo sasahivi wamekuwa mbolea na tumeshawasahau na ugali unashuka vizuriii kabisa na bia baridiiii
Kisa cha mwerevu na mpumbavu umekielewa? Kati ya Mseveni na Samia ni yupi dikteta mpumbavu.
 
Kisa cha mwerevu na mpumbavu umekielewa? Kati ya Mseveni na Samia yupi mpumbavu.
HAPA WAPUMBAVU MAJAMBAZI WA TANZANIA WALIDHANI NCHI HAINA ULINZI, MANGE NDO ANACONTROL , SAMIA YEYE KAILINDA KATIBA KWA KULINDA RAIA WEMA NA MALI ZAO KWA KUWADHIBITI MAJAMBAZI KWA RISASI ZA MOTO NA NGUVU KIDOOOOGO , NGUVU KIDUCHU TU
 
uganda hakuna vibaka, wezi na magaidi waliofanya uhalifu kama huku kwetu
 
Kisa cha mwerevu na mpumbavu umekielewa? Kati ya Mseveni na Samia yupi mpumbavu.
Waganda wanajielewa walijua wakijaribu kuchoma nchi yao watachomwa wao na walinzi wa katiba baada ya kazi ya kuwatuliza wataenda kunywa whisky kama kawaida na nyama choma huku wao wakiwa ahera na mabinti bikra kama kweli huko kuko hivyo ahaaaa
 
uganda hakuna vibaka, wezi na magaidi waliofanya uhalifu kama huku kwetu
upo sahihi sana na hata kama wapo waliofikiria wameshafundishwa na baba wa AMANI AFRICA TANZANIA kuwa chezea ndevu sio kuchezea amani
 
upo sahihi sana na hata kama wapo waliofikiria wameshafundishwa na baba wa AMANI AFRICA TANZANIA kuwa chezea ndevu sio kuchezea amani
Acha utoto wewe, siku vikizuka vikundi vya kigaidi hapa nchini wote mtakimbia nyie. Msipende kujaribu patience ya wananchi.

Unadhani next time wataandamana mikono mitupu? Baade mseme wamelipwa kumbe nyie ndio mnachochea hasira
 
Acha utoto wewe, siku vikizuka vikundi vya kigaidi hapa nchini wote mtakimbia nyie. Msipende kujaribu patience ya wananchi.

Unadhani next time wataandamana mikono mitupu? Baade mseme wamelipwa kumbe nyie ndio mnachochea hasira
Mbona Dec 9 , Dec 25 na January 1 wameshajua risasi inaliaje hawajajaribu tena kuingia barabarani kuiba?
 
Waganda wanajielewa walijua wakijaribu kuchoma nchi yao watachomwa wao na walinzi wa katiba baada ya kazi ya kuwatuliza wataenda kunywa whisky kama kawaida na nyama choma huku wao wakiwa ahera na mabinti bikra kama kweli huko kuko hivyo ahaaaa
Watu sio wajinga, kama ambavyo M029 haikuwahi dhaniwa basi siku utasikia tu museveni kapinduliwa na nchi ikarudi vitani.

Msipende kudhani watu wakiwa wakimya ndio kuna amani. Amani haijawahi kulindwa kwa mtutu otherwise Wapalestina wangeshaachaga mapambano.
 
Watu sio wajinga, kama ambavyo M029 haikuwahi dhaniwa basi siku utasikia tu museveni kapinduliwa na nchi ikarudi vitani.

Msipende kudhani watu wakiwa wakimya ndio kuna amani. Amani haijawahi kulindwa kwa mtutu otherwise Wapalestina wangeshaachaga mapambano.
Tungeshaona kwa china au russia
 
Mbona Dec 9 , Dec 25 na January 1 wameshajua risasi inaliaje hawajajaribu tena kuingia barabarani kuiba?
Sasa kwa akili yako hiyo ni amani au wanawaza plan B ya kukabiliana na silaha? Unadhani M23 zilianzaje? Ogopa sana watu wana hasira alafu wanakaa kimya sababu tu wamekosa silaha. Unadhani hapa ikitokea mgogoro hata na Rwanda kuna raia atailinda nchi? Trust me most of us tutachukua silaha tupiganie upande wa Rwanda.
 
Sasa kwa akili yako hiyo ni amani au wanawaza plan B ya kukabiliana na silaha? Unadhani M23 zilianzaje? Ogopa sana watu wana hasira alafu wanakaa kimya sababu tu wamekosa silaha. Unadhani hapa ikitokea mgogoro hata na Rwanda kuna raia atailinda nchi? Trust me most of us tutachukua silaha tupiganie upande wa Rwanda.
M23 mradi maalum wa mabeberu, Kagame kawadhibiti wahuni miaka 30 , museven miaka 40 issue ni umma uamke utumie njia halali za ushawishi sio ujambazi
 
M23 mradi maalum wa mabeberu, Kagame kawadhibiti wahuni miaka 30 , museven miaka 40 issue ni umma uamke utumie njia halali za ushawishi sio ujambazi
Mradi wa beberu gani wakati madini yote tayari yanachimbwa na mabeberu au mgodi gani umebaki? Huko Lubumbashi, kasai au Katanga kuna M 23? Mbona ndio kitovu cha madini Afrika.

Acheni kuweka lawama kwa wazungu kwa kila kitu, mfano hapa mnateka watu siku wakiandamana kuwapinga mkadai wamelipwa na mabeberu as if kuna madini nchi hii hamjawapa hao wazungu.

Badilikeni, Tanzania ya sasa sio ya 1960s
 
Ni
Kisa;

Hapo zamani za siku hizi, kulikuwa na wanawake wawili mmoja mwerevu na mwigine mpumbavu, walikuwa wanataka kuvuka mto, wote walikuwa wamebeba watoto mgongoni, mpumbavu alibeba mtoto wake lkn mwerevu alibeba jiwe kama mtoto, mwerevu kamwambia mpumbavu ili tuvuke huu mto lazima tuwatupe watoto wetu mtoni, mpumpavu akakubali hakujua kuwa mwenzake alikuwa kabeba jiwe.

Duniani kuna Madikteta werevu/wajanja na kuna madikteta wapumbavu.

Wakati wa uchaguzi Museven alileta wanajeshi nchini ili kumsaidia Samia, wale wanajeshi waliua maelfu ya Watanzania, leo Museveni kashinda uchaguzi pasipo kuua watu wake kama mwenzake.

Mwenye akili na akili zake mpambavu na mzigo wake.
Ni kweli mkuu. Nilikuwa naangalia waandamanaji na wasusia uchaguzi kule kwa Museveni, sikuwaona. Nadhani walijificha na Museveni na vikosi vya Uganda vilishindwa kuwaona, kwahivyo wakashindwa kutumia nguvu. Nikajiuliza, hivi Watumie nguvu dhidi ya upepo? Sijapata jibu.
 
Kisa;

Hapo zamani za siku hizi, kulikuwa na wanawake wawili mmoja mwerevu na mwigine mpumbavu, walikuwa wanataka kuvuka mto, wote walikuwa wamebeba watoto mgongoni, mpumbavu alibeba mtoto wake lkn mwerevu alibeba jiwe kama mtoto, mwerevu kamwambia mpumbavu ili tuvuke huu mto lazima tuwatupe watoto wetu mtoni, mpumpavu akakubali hakujua kuwa mwenzake alikuwa kabeba jiwe.

Duniani kuna Madikteta werevu/wajanja na kuna madikteta wapumbavu.

Wakati wa uchaguzi Museven alileta wanajeshi nchini ili kumsaidia Samia, wale wanajeshi waliua maelfu ya Watanzania, leo Museveni kashinda uchaguzi pasipo kuua watu wake kama mwenzake.

Mwenye akili na akili zake mpambavu na mzigo wake.
IMG-20260119-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom