Soka Ndio Maisha Yangu
Senior Member
- Nov 27, 2024
- 110
- 377
Habari ndio hiyo, Mangungu na Hersi wamepigwa chini
Simba oyeee
Simba oyeee
Mangungu licha ya kuwatia wenzake ulemavu lakini outHabari ndio hiyo, Mangungu na Hersi wamepigwa chini
Simba oyeee
Hawa nahisi walipewa dili simba na yanga zicheze watapewa ubunge 😁🤣.Habari ndio hiyo, Mangungu na Hersi wamepigwa chini
Simba oyeee
Sawa sawa ,na hata ktk chama Bado mchanga, walau Dauda anaeza kusumbuaHersi bado mdogo sana, umaarufu wa kuwa Yanga tu hautoshi kupata ubunge
Dauda hajaanza leo,ile ndondo cup aliianzisha kupitia Clouds ndiyo aliyoitumia kumfikisha hapoSawa sawa ,na hata ktk chama Bado mchanga, walau Dauda anaeza kusumbua
Ana miaka mingapi?Hersi bado mdogo sana, umaarufu wa kuwa Yanga tu hautoshi kupata ubunge
Amepata umaarufu zaidi alipofika Yanga, ambao ni china ya miaka 6Ana miaka mingapi?
Simba OyeMangungu amepigwa chini
Sawa sawaDauda hajaanza leo,ile ndondo cup aliianzisha kupitia Clouds ndiyo aliyoitumia kumfikisha hapo
Udogo wa hers ni upi!?Hersi bado mdogo sana, umaarufu wa kuwa Yanga tu hautoshi kupata ubunge
Seniority kwenye Chama hasa kwenye eneo alilogombeaUdogo wa hers ni upi!?
Kuna wa umri wake ni mawaziri kabisa Ile sakata ya hatuchezi iliwaweka njia panda bila wao kujua
Rais anapomtuma Waziri Ile ni order ila wao wakashikilia kuonana na Rais kimsingi walitaka kuhujumu nchi ili ifungiwe isiandae Chan na afcon labda kwa rushwa walizopewa na nchi kubwa zinazowinda hizo mashindano
Familia ya Rais SAMIA SULUHU HASSANHabari ndio hiyo, Mangungu na Hersi wamepigwa chini
Simba oyeee