Kweli kabisa, niliyeleta mada ni miye, wengine wakanipuuza kwa kuona kwamba nimeleta thread ya hovyo na kuniambia sina fedha za kupanda ndege, kweli ilikuwa ni kejeli lakini sasa tunalia, kama tungeichukulia kwa taadhari yale niliyosema mwanzo hali hii isingetokea. Watanzania! poleni sana majeruhi.Poleni sana abiria;
Kumbukumbu zangu zinasema kuwa kuna mada ililetwa hapa kuhusu haya mabasi ya MURO TRANS tulisha yajadili hapa kuwa ni mabovu. Sasa leo yametokea mengine haya kwa uzembe wa dereva. Huenda na ubovu wa basi nao umechangia.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!