Murder, torture and bad leadership in Tanzania

Lokissa

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
7,446
2,490
Dear Tanzania, It’s my pleasure to inform you about my coming article on Murder, torture and bad leadership in Tanzania, 2013. Hopefully, my article will be accepted in an international Journal. The main aim of the article is to tell the society in the world how our fellow Tanzanians who have been killed, tortured as well as bad leadership in Tanzania. There is no true democracy in Tanzania; people have lost hope of living. Therefore, I request your contribution and of course I will put the manuscript here at JF for more comments before submitting it to a Journal.Your cooperation is highly appreciating.
 
Ki english chako ni kama vile mulugo ni mwalimu wako. Ukiweka makala yako kwenye international journal kama unavyosema utatuabisha tu,labda unatafta na editor hapa jf?
 
wewe kiingeleza chako ni kizuri?wakat mwingne ucpende kukosoa bila kufkria kwan kiingeleza sio lugha yetu,
 
If you are good in english can you please write it in english ! This is kind of people we have shame on you, what is wrong?
Ki english chako ni kama vile mulugo ni mwalimu wako. Ukiweka makala yako kwenye international journal kama unavyosema utatuabisha tu,labda unatafta na editor hapa jf?
 
Dear Tanzania, It’s my pleasure to inform you about my coming article on Murder, torture and bad leadership in Tanzania, 2013. Hopefully, my article will be accepted in an international Journal. The main aim of the article is to tell the society in the world how our fellow Tanzanians who have been killed, tortured as well as bad leadership in Tanzania. There is no true democracy in Tanzania; people have loose hope of living. Therefore, I request your contribution and of course I will put the manuscript here at JF for more comments before submitting it to a Journal.Your cooperation is highly appreciating.

Kama hamjiamini kuandika makala kwa vichwa vyenu kwa nini mnahangaika hivyo? Kama hamwezi si mkalime au mkabebe mabox ugaibuni kama le mutuz au kris
 
This sentence is shaping your capacity of thinking; Think before writing. Mulugo type!!!
Kama hamjiamini kuandika makala kwa vichwa vyenu kwa nini mnahangaika hivyo? Kama hamwezi si mkalime au mkabebe mabox ugaibuni kama le mutuz au kris
 
Keep on, all bad treatment, harassments and human-rights violation can be put to an end if as a nation together we stand

against those in the system who does against the law. The support will be available in either case whether positive or

negative don't be discouraged as at an end you'll obtain what you need.

All the best wishes on your move to accomplish this objective.
 
Kama hamjiamini kuandika makala kwa vichwa vyenu kwa nini mnahangaika hivyo? Kama hamwezi si mkalime au mkabebe mabox ugaibuni kama le mutuz au kris

kuomba ushauri au nasaha au mawazo sio kosa ndiyo maana waandishi wa vitabu, makala, research nk huwa wanaweka

reference ilikuweka mambo sawia na jinsi walivyoweza kufikia hitimisho la maandishi au tafiti zao.

Mkuu hapa unatuangusha na kuufanya mkeka huu wa jf uonekane wa watu wasio na uelewa. kosa lake ni nini? kama

hutataka kutowa mawazo yako atakapohitaji wengine watatoa hakuna tatizo.
 
naamini makala yako itakuwa poa, ila 'no ofence'; nadhani ni vyema ungeandika kwa kiswahili..
coz kwa hiyo paragraph moja tu uliyoandika unaonekana bado hauko fluent kwenye kingereza just like me
naamini utafuata ushauri wangu, coz kama utaandika kwa kiingereza watu wataacha kujadili 'content' ya ulichoandika badala yake wataanza kujadili kiingereza chako kama kiko sawa..
NI MAONI YANGU TU LAKINI MKUU, usinimaindi..
 
This sentence is shaping your capacity of thinking; Think before writing. Mulugo type!!!

kwa nini usitumie lugha unayoijua,kiingereza chako hakijakaa sawa halafu unazidi kujibu kwa lugha ambayo huijui! Au ndo unataka watu wakujue udhaifu wako ili wakusaidie? Pathetic!
 
Kaka usikatishwe tamaa wewe andika sie tuta edit kwani Kingereza ni sawa na kisukuma tu bana,Ujumbe wako ni muhimu zaidi kuliko majungu na madongo ya baadhi ya wachangiaji
 
kwa nini usitumie lugha unayoijua,kiingereza chako hakijakaa sawa halafu unazidi kujibu kwa lugha ambayo huijui! Au ndo unataka watu wakujue udhaifu wako ili wakusaidie? Pathetic!
Tatizo anafikiri JF ndio kijijini kwao.
 
Dear Tanzania, It’s my pleasure to inform you about my coming article on Murder, torture and bad leadership in Tanzania, 2013. Hopefully, my article will be accepted in an international Journal. The main aim of the article is to tell the society in the world how our fellow Tanzanians who have been killed, tortured as well as bad leadership in Tanzania. There is no true democracy in Tanzania; people have loose hope of living. Therefore, I request your contribution and of course I will put the manuscript here at JF for more comments before submitting it to a Journal.Your cooperation is highly appreciating.
another taahira post at his/her best level
 
naamini makala yako itakuwa poa, ila 'no ofence'; nadhani ni vyema ungeandika kwa kiswahili..
coz kwa hiyo paragraph moja tu uliyoandika unaonekana bado hauko fluent kwenye kingereza just like me
naamini utafuata ushauri wangu, coz kama utaandika kwa kiingereza watu wataacha kujadili 'content' ya ulichoandika badala yake wataanza kujadili kiingereza chako kama kiko sawa..
NI MAONI YANGU TU LAKINI MKUU, usinimaindi..

Uko sahihi mkuu, huu utangulizi tu umeshaleta zogo. nadhani umemshauri vema ili kila mwenye lake achangie na

posiwepo mkanganyiko wa matumizi ya lugha.
 
kuomba ushauri au nasaha au mawazo sio kosa ndiyo maana waandishi wa vitabu, makala, research nk huwa wanaweka

reference ilikuweka mambo sawia na jinsi walivyoweza kufikia hitimisho la maandishi au tafiti zao.

Mkuu hapa unatuangusha na kuufanya mkeka huu wa jf uonekane wa watu wasio na uelewa. kosa lake ni nini? kama

hutataka kutowa mawazo yako atakapohitaji wengine watatoa hakuna tatizo.

kilichonifanya nione kwamba ndg yetu gwanda anatafta huruma ya watu ni kiingereza chake kinaonyesha hiyo makala itakuwa ni aibu kwetu kama mulugo type na kuja kwake hapa ni kama anataka sisi tumwandikie ili yeye adese tu. Amesema ataweka manuscript badae,why? Weka kwanza ili tuongeze au kupunguza kuliko kuacha blank hafu sisi ndo tujaze.
 
kilichonifanya nione kwamba ndg yetu gwanda anatafta huruma ya watu ni kiingereza chake kinaonyesha hiyo makala itakuwa ni aibu kwetu kama mulugo type na kuja kwake hapa ni kama anataka sisi tumwandikie ili yeye adese tu. Amesema ataweka manuscript badae,why? Weka kwanza ili tuongeze au kupunguza kuliko kuacha blank hafu sisi ndo tujaze.

Mkuu

Kuomba msaada ni makosa? tunaishi kwa kushirikiana na kusaidiana na hapo ndipo utanzania wetu unakamilika.

English siyo lugha yetu nadhani itatubidi kujadili maudhui ya hiyo kazi yake na kama atasahihishwa ndiyo vizuri hakuna aliye mkamilifu.

Tungesubiria kwanza atakacholeta ndipo tutoe hukumu, mbona tunahukumu tusichokijuwa? hatumfanyii haki ndugu yetu.
 
Mkuu

Kuomba msaada ni makosa? tunaishi kwa kushirikiana na kusaidiana na hapo ndipo utanzania wetu unakamilika.

English siyo lugha yetu nadhani itatubidi kujadili maudhui ya hiyo kazi yake na kama atasahihishwa ndiyo vizuri hakuna aliye mkamilifu.

Tungesubiria kwanza atakacholeta ndipo tutoe hukumu, mbona tunahukumu tusichokijuwa? hatumfanyii haki ndugu yetu.

kuomba ushauri ni suala la kawaida hata mimi silipingi ndo maana nimempa ushauri kuwa kiingereza chake kiko na matatizo. Mnapotetea kwamba kiingereza siyo lugha yetu wakati gwanda 1 anataka makala iwe kwenye journal ya kimataifa nadhani mnakuwa hamumwambii ukweli na kazi yake itakuwa kichekesho. Tusijifariji kuwa kiingereza siyo lugha ya kwetu kwa kuandika tunavyojisikia maana watakaopelekewe hiyo article hawataangalia kwamba aliyeandika hiyo article kiingereza sio lugha yake. Pia suala la kuja bila manuscript ni upungufu mwingine maana tutashindwa kutoa ushauri murua.
 
Back
Top Bottom