yunus mohd
Member
- Aug 12, 2018
- 6
- 0
Asante mkuu subiri nifanye ivyo
mbona naona hapo una gpu ya invidia pia mkuu.Bado inazima ila nikiek low inacheza kidogo harafu inajizimaView attachment 867515
Mkuu ivi naweza kucheza game kubwa kwne processor inayoishia herufi u au y mfano kuna hii Asus vivobook i5-8150uUnaweza download trial toka website yao cyberlink
PowerDirector 16 Version d’Essai Gratuite | CyberLink
Ukiipenda ufanye mpango wa full version
Sio 8250u?Mkuu ivi naweza kucheza game kubwa kwne processor inayoishia herufi u au y mfano kuna hii Asus vivobook i5-8150u
Poa mkuu naona kuna Dell G3 inauzwa almost 768.98Sio 8250u?
Cpu yake itacheza almost game zote duniani. Ila gpu inategemea, kama haina dedicated gpu itacheza ila kwa low quality.
Kama upo serious na games tafuta i5 8400H laptop zake ni kama $700 na nyingi zinakuja na kuanzia Nvidia Gtx 1050.
Mkuu utofauti wa 8th generation na 7th generation ni mkubwa sana. Yaani tofauti ya i5 7300HQ na i5 8300H ni mkubwa sana. Hizo i5 za 8th generation zina core 6 compare na core 4 za 7th generation.Chief-Mkwawa vipi hizi machine, nina mpango wa kununua machine ambayo nikigusa kwenye CAD au Gaming iwe vema
View attachment 876668View attachment 876669View attachment 876669
Ina specs gani hio dell?Poa mkuu naona kuna Dell G3 inauzwa almost 768.98
Mkuu kama alivyojibu jamaa hapo juu una gpu mbili. Sichezi hilo game ila magame mengi yanakuwa na option ya kuchagua gpu. Labda cheki graphics option za game lako kisha badili gpu kama ilikuwa ni nvidia eka intel au kama ni intel iweke itumie nvidia.Bado inazima ila nikiek low inacheza kidogo harafu inajizimaView attachment 867515
Ndio mkuu gta v itarun bila matatizo. Ikiwa nzito punguza tu quality ya graphics.Mkuu hii ya kwangu naona ni 6th gen, hii pc naitumia sana kwa kazi za ofisin ambazo ni za utumia ERP ila nataka nijaribu kuweka gta 5, vp itakubali kwa hzo specs?
View attachment 877252
Ndio inacheza bila wasi wasi mkuu.Asante mkuu imekubali.
Mkuu laptop yangu ni 17 4gen mq vipi gta 5 itacheza
Hio boom j8 bado unayo?hujaiflash?Nimebarisha simu kutoka tecno boom j8 kwenda huawei p8 na namba ile ile nimeitumia kwenye simu yangu mpya ila cha kushangaza groups zote za whatsapp na namba zingine zimepotea ni kama nimeleft magruops, tatizo litakuwa nini? Maana hakuna notification yoyote ninayopokea na hakuna tena magroups!
NimeuzaHio boom j8 bado unayo?hujaiflash?
Hapo pagumu maana backup yako ya zamani huna, msg haziwezi rudi na kama namba hazipo kwenye email pia majina hayawezi kuja.Nimeuza
Hayapo hata nilipokuwa nasave majina nilikuwa nasave kwenye e-mail na sio kwenye simu, nikijaribu kuyatafuta kwenye e-mail hayapoHapo pagumu maana backup yako ya zamani huna, msg haziwezi rudi na kama namba hazipo kwenye email pia majina hayawezi kuja.
Kuhusu magroup jaribu ku scroll chini kabisa hayapo?