manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,216
Asante sana mkuuNi ndogo sana mkuu. Perfomace ya single thread ni kama i3 sema haina hyperthread hivyo kwenye multicore inapitwa na i3.
Sema hio ni APU hivyo kwenye graphics kidogo ipo vizuri. Inaweza fanana na 3rd gen ya intel.
Games za zamani kama 2014 kushuka nyingi unacheza na matumizi ya kawaida karibia mambo yote utafanya.