tatizo sio programming firms! tatizo waafrika tunapenda kuajiliwa sana alafu vilevile mara nyingi tunapopata fulsa kama hizi za forums za kuwafikia wakuu unakuta tunaongelea mambo yakuharibu, yasiyo na umuhimu kwetu! mara ooh sijuwi JPM nini sijuwi nini badala ya kumsogelea na kumpa deal za kuinvest na kuendeleza nchi badala yake unakuta tumejikita kwenye siasa sijuwi nani kafungwa nani kaachiliwa ilimradi tupige kelele tu bila hata ya kujuwa kafungiwa nini! atajuwaje kama yuko na wataalamu wa mambo fulani? ndio maana unaona wanakimbilia kwenda kutuletea wachina! huku kwetu Rwanda baada ya kugundua siri ya urembo, hivi kila siku tunampigia hodi mzee wetu, ndio maana unaona hata campaign ya MADE IN RWANDA imeshika hatamu na Mungu akijalia watu watakuwa wanakuja huku kununuwa vifaa, kama vile tumashine twa cofee, ice cream, mashine za michezo ya watoto(fair) na nyinginezo au angalau hata system za umwagiliaji, jamani tuna safari ndefu! tupunguze siasa zinatuumiza wabunifu!