Muongozo: Programming Language

Muongozo: Programming Language

SHUKRANI SANA MKUU yaani sijui hata nikwambiaje uliyo yaandika hapo ndio haswaa lengo langu mkuu yaani ungejifanya ni mtabili basi leo ungenibamba sana mkuu.nashukuru sana kwa kunielewa then na kwakunipa ushauri.napenda sana hayo uliyoyasema coz kuna faida nyingi sana kuna magari mrngi sana bongo yanakufa na kupaki wakati solution yake ni ndogo sana kunamagari truck zinazo kuja na mfumo wa ADBLUE zinapark na kufa kisa mafundi or ADBLUE imekwisha wakati kuna option ya kuiremove.

kuna magari kibao yana paki kisa kuna sensor mfano MAF sensor or gari inakuwa na bad pofermance kama ulaji sana wa mafuta kisa EGR imekufa wakati kuna option ya kuremove kwenye ECU.

ulaji wa mafuta kwenye magari bongo imekuwa mzozo wakati ukifanyia ecu programming gari inapunguza.tatizo bongo hatuna vyuo vya uhakika.
mkuu kama huto jali mawasiliano yangu ni 0717228064 naomba unicheki mkuu tuongee na ubarikiwe sana.

soon nitakupa mlejesho ngoja nikusanye kwanza vitendea kazi.mashine zakupimia tuu ninazo za kutosha hilo halina shida.
Amina mkuu! na ubalikiwe katika mishe zako... pamoja tutafika!
 
Reverse engineering inalipa kweli kwa bongo hii?! Huwa kuna vipaji vingi tu vya programming kwenye nchi maskini vinakufa au kupotea kwa sababu hakuna pa kufanyia kazi! Labda kwa wenzetu ambako kuna programming firms za maana.
tatizo sio programming firms! tatizo waafrika tunapenda kuajiliwa sana alafu vilevile mara nyingi tunapopata fulsa kama hizi za forums za kuwafikia wakuu unakuta tunaongelea mambo yakuharibu, yasiyo na umuhimu kwetu! mara ooh sijuwi JPM nini sijuwi nini badala ya kumsogelea na kumpa deal za kuinvest na kuendeleza nchi badala yake unakuta tumejikita kwenye siasa sijuwi nani kafungwa nani kaachiliwa ilimradi tupige kelele tu bila hata ya kujuwa kafungiwa nini! atajuwaje kama yuko na wataalamu wa mambo fulani? ndio maana unaona wanakimbilia kwenda kutuletea wachina! huku kwetu Rwanda baada ya kugundua siri ya urembo, hivi kila siku tunampigia hodi mzee wetu, ndio maana unaona hata campaign ya MADE IN RWANDA imeshika hatamu na Mungu akijalia watu watakuwa wanakuja huku kununuwa vifaa, kama vile tumashine twa cofee, ice cream, mashine za michezo ya watoto(fair) na nyinginezo au angalau hata system za umwagiliaji, jamani tuna safari ndefu! tupunguze siasa zinatuumiza wabunifu!
 
hoj

hoja nzuri mkuu lakini unajua ukifuatilia vzur historia ya mataifa makubwa katika sekta za computing mfano marekani unakutana na fact ya kwamba vitu vilianza kama hobby watu kama wakina Richard stallman walikuwa wana program for the sake of knowledge.Lakini sisi kidogo tumeanza tofauti sisi tumeanza na stage ya ku program kwa ajili ya hela tumeanza stage ambayo wenzetu ndo wapo sasa hvi na maybe ndo sababu kubwa hatuendelei sana kwenye hii sekta kwa sababu kla mtu anaweza hela na kazi passion ni wachache sana
Mkuu nimependa maelezo yako! Ila kumbuka na njaa yetu inatufanya tupoteze hata hobby zetu tubaki kuishi kwa kuganga njaa!! Imagine graduate katoka chuo maisha mtaani magumu atawaza vipi kufanya vitu vya hobby yake?! Wengi wako radhi hata kwenda kufanya kazi excel tu ili mradi anapata kimshahara...
 
mkuu nazani C ndio nzuri kama ni high level plz kama una material nifanyie mpango hata kama kutakuwa na chochote kinahitajika nipo tayari kukilipia mkuu.
Ngoja nitacheck kwenye library zangu, ingawa nikiri tu kuwa sijawahi kufanya programming kwenye microcontrollers kwa kutumia C, nimefanya fanya kwa kutumia assembly language
 
tatizo sio programming firms! tatizo waafrika tunapenda kuajiliwa sana alafu vilevile mara nyingi tunapopata fulsa kama hizi za forums za kuwafikia wakuu unakuta tunaongelea mambo yakuharibu, yasiyo na umuhimu kwetu! mara ooh sijuwi JPM nini sijuwi nini badala ya kumsogelea na kumpa deal za kuinvest na kuendeleza nchi badala yake unakuta tumejikita kwenye siasa sijuwi nani kafungwa nani kaachiliwa ilimradi tupige kelele tu bila hata ya kujuwa kafungiwa nini! atajuwaje kama yuko na wataalamu wa mambo fulani? ndio maana unaona wanakimbilia kwenda kutuletea wachina! huku kwetu Rwanda baada ya kugundua siri ya urembo, hivi kila siku tunampigia hodi mzee wetu, ndio maana unaona hata campaign ya MADE IN RWANDA imeshika hatamu na Mungu akijalia watu watakuwa wanakuja huku kununuwa vifaa, kama vile tumashine twa cofee, ice cream, mashine za michezo ya watoto(fair) na nyinginezo au angalau hata system za umwagiliaji, jamani tuna safari ndefu! tupunguze siasa zinatuumiza wabunifu!
Mkuu wewe potential sana!!
 
lol! unajuwa we ndugu yangu hovyo sana kiasi cha kunifanya niwe nakuona nuksi! mi naona zile siasa za kuharibu bora uziache tung'ang'anie kwenye kujenga nchi na ujuzi kwa wadogo zetu, italipa!!! kwani hata Raisi wetu ndio jambo linalomkosesha usingizi, trust me! iiif we mean it, even Chinese may end up going back in to their country they are not better than us anyway, tatizo hamjitumi mnashinda mkiwanga kuhusu Kagame na mishe zake za kutufikisha at the mountain top, tabu tupu! NB kumladhi! usilete siasa huku watu wanataka kujiendeleza jMali
1. Wewe si ndio umeniita lakini?
2. Halafu uwe na adabu, dada yenu kitchen party tayari, nasubiria kuweka ndani very soon. Ndo nishakuwa shemeji yenu muwe na adabu!
 
Back
Top Bottom