Muongozo: Napenda kusoma Public Administration

Muongozo: Napenda kusoma Public Administration

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,297
Reaction score
1,861
Habari Wana Jf

Mim Ni Student Wa A Level Form 5 Naingia 6.Nasoma HGL, malengo yangu ni kusoma Public Administration UDSM next year.

Naombeni Mnipe Mwongozo Juu Ya Malengo Yang Coz I Admire It So Much!!
 
Ni kozi nzuri inayotaka kusoma. Lakini ninakushauri usome kozi ambayo katika soko la ajira itafit. Au labda ukubali kujiajiri
 
kwa mkuu suala la ajira c sapot tu!!
 
Kama unapenda kuisoma hiyo kozi ya Public Administration kwa interest zako tu, hapo sawa, ila kama utasoma kwa ajiri ya Ajira utakuwa umekosea sana hiyo kozi kwa sasa kuajiriwa ni bahati nasibu ya Ajabu kabisa na kujiajiri ndio haiwezekani kabisa.
Ni moja ya kozi zenye majanga inapokuja issue ya Ajira.
Kifupi sikushauri kabisa.

Fanya vyovyote unavyoweza, ukimaliza tu form Six na kufaulu nenda kasomee kozi za Ualimu(Education) hautajuta nakwambia kwenye issue za Ajira.
 
Ww soma education ndugu uwe na uhakika wa ajira .koz nyengine majanga matupu ndugu.achana nazo utakuja hangaika.au kama unweza kujiajiri kasome ,sio kozi mbozi ,tatizo haina ajira.
 
Ww soma education ndugu uwe na uhakika wa ajira .koz nyengine majanga matupu ndugu.achana nazo utakuja hangaika.au kama unweza kujiajiri kasome ,sio kozi mbozi ,tatizo haina ajira.
 
Dogo mi nmesoma hiyo PspA hapo udsm ni course nzuri jitahidi na fuata kile moyo wako unakuambia hata kama ajira ni ngumu lakini ukisoma pspa ukitoka unatoka moja kwa moja. Na ukisoma public administration ajira zake mpaka za hr unafit so usife moyo komaa kila mtu ana namna yake ya kufanikiwa.
 
sasa ikiwa wote watasoma education serikali itaweza kuwaajiri? we kasome kozi unayotaka
 
Dogo mi nmesoma hiyo PspA hapo udsm ni course nzuri jitahidi na fuata kile moyo wako unakuambia hata kama ajira ni ngumu lakini ukisoma pspa ukitoka unatoka moja kwa moja. Na ukisoma public administration ajira zake mpaka za hr unafit so usife moyo komaa kila mtu ana namna yake ya kufanikiwa.

Xanks Mkuu,,
Vp Wew Ulfankiwa!!
 
To tell u the truth ,usisome iyo course kama huna marefa wa kukutaftia kazi, mara kumi usome course za business kama marketing na hr kidogo zina afadhali au law
 
To tell u the truth ,usisome iyo course kama huna marefa wa kukutaftia kazi, mara kumi usome course za business kama marketing na hr kidogo zina afadhali au law

mkuu naipenda hii kwa kwel na upande flan marefa wapo
 
PSPA cozi nzuri ajira zipo ila sio kwa mda unaoutaka wewe piga kitabu tengeneza GPA nzuri n thn mengine yatafwata.
 
Ww soma education ndugu uwe na uhakika wa ajira .koz nyengine majanga matupu ndugu.achana nazo utakuja hangaika.au kama unweza kujiajiri kasome ,sio kozi mbozi ,tatizo haina ajira.

Kaka siku hizi hata hizo Education napo ni Tatizo aisee....
Hadi saivi watu hawajaajiriwa na inasemekana idadi ya watakaoajiriwa ni wachache saana waalimu wa Arts naonekana kama wanaendea kukosa soko Serikalini ,,Sayansi na Hisabati mzuka
Yaani in short Bongo bila Kuwa na Pesa ya kuhonga au kujulikana utakula msoto kinoma!!!
 
Back
Top Bottom