Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,222
- 36,239
Paukwa....!
Ikawa asubuhi, ikawa jioni....
Hii ya jana mchana, bado ya moto kabisa ....
Basi bwana, jana mchana nilipita mgahawa mmoja jijini Daslamu kupata mlo wa mchana. Nilikuwa mwenyewe, wakati nasubiri chakula nikatoa kitabu changu cha komedi nikaanza kusoma.
Nikaanza kucheka mwenyewe mwisho napasuka mbavu na kitabu. Akanistua mhudumu... samahani bibi, kuna kaka yule palee ameniomba niulize kama uko mwenyewe mjumuike pamoja chakula....
Kwanza sikumuelewa like anataka kula chalula changu ama...!! How....!!๐ณ
Wakati najishauri kujibu huyo kaka akaja, akatusabahi... samahani mwanamama, naweza kuketi hapa nami nikasikiliza usomacho tucheke wote?
Nikajikuta natabasamu, nikamwambia pasi na shaka karibu. Kumbe nae alikuwa ashaagiza msosi wake, mhudumu akaondoka akatuacha.
Huku nyuma yeye (Simon) ndo akageuka kitabu cha komedi. Yaani alianza nipigisha stori za kuchekesha nilicheka hadi nikamwambia inatosha, ntashindwa kulaโบ.
Sababu ya kuleta huu uzi, Simon ni mkaka mtanashati, mcheshi, mrefu mweusi (ila si tii). Sautiiiii...
Sauti jamani sauti yakee......
Mimi hoooiiiiiii aaahahahahaaaaaaa loooh...!
Kiufupi nimemu - admire...๐๐
Sijui nini kilimvuta aje kwenye meza yangu, ila hatukubadilishana namba za simu na kila mtu alilipa bili yake.
Saa hii na flash back memories, natabasamu tuu...๐.
Kasinde โบ๏ธ.
Ikawa asubuhi, ikawa jioni....
Hii ya jana mchana, bado ya moto kabisa ....
Basi bwana, jana mchana nilipita mgahawa mmoja jijini Daslamu kupata mlo wa mchana. Nilikuwa mwenyewe, wakati nasubiri chakula nikatoa kitabu changu cha komedi nikaanza kusoma.
Nikaanza kucheka mwenyewe mwisho napasuka mbavu na kitabu. Akanistua mhudumu... samahani bibi, kuna kaka yule palee ameniomba niulize kama uko mwenyewe mjumuike pamoja chakula....
Kwanza sikumuelewa like anataka kula chalula changu ama...!! How....!!๐ณ
Wakati najishauri kujibu huyo kaka akaja, akatusabahi... samahani mwanamama, naweza kuketi hapa nami nikasikiliza usomacho tucheke wote?
Nikajikuta natabasamu, nikamwambia pasi na shaka karibu. Kumbe nae alikuwa ashaagiza msosi wake, mhudumu akaondoka akatuacha.
Huku nyuma yeye (Simon) ndo akageuka kitabu cha komedi. Yaani alianza nipigisha stori za kuchekesha nilicheka hadi nikamwambia inatosha, ntashindwa kulaโบ.
Sababu ya kuleta huu uzi, Simon ni mkaka mtanashati, mcheshi, mrefu mweusi (ila si tii). Sautiiiii...
Sauti jamani sauti yakee......
Mimi hoooiiiiiii aaahahahahaaaaaaa loooh...!
Kiufupi nimemu - admire...๐๐
Sijui nini kilimvuta aje kwenye meza yangu, ila hatukubadilishana namba za simu na kila mtu alilipa bili yake.
Saa hii na flash back memories, natabasamu tuu...๐.
Kasinde โบ๏ธ.