Muondoeni Julio timu ya taifa, hafai hafai kabisa

Muondoeni Julio timu ya taifa, hafai hafai kabisa

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,608
Reaction score
7,167
Leo kocha morocco katangaza timu ya taifa,mimi simchukii lakini ni dhahiri hana uwezo wa kufindisha timu ya taifa na hata kuongea hawezi,nimemsikia leo ni wa kumhurumua tu.

Nadhani ni mradi wa mtu fulani hapo tff kumpa yeye ukocha ili wagawane mshahara.

Kituko cha mwaka ni julio alichoongea leo ni takataka tupu,kuwalaumi waandishi na kumtaja shafi dauda kuwa ni mtu mouuzi fulani hivi,kwani analazimisha mchezaji wake kachwrle achaguliwa taifa stars.

Julio hafai kuwa kocha,julio ni mropokaji tu.Tff chukueni hatua haraka
 
Benchi zima la ufundi la team yetu halifai.....wapo kisiasa na mradi wa msomali...
 
Ao makocha tuliwakosa kwa muda mrefu, Wanastahili kufundisha iyo timu kwa Mazingira tuliyonayo.
Wana elimu ya kutosha, wamecheza Mpira katika Mazingira magumu na ushindani mkubwa katika Ligi kuliko Sasa.
Wanafahamu Mazingira na akili/ uwezo wa wachezaji wetu.
Wanatengeneza timu ijayo ya taifa kwa umahiri mkubwa.
Nawashauri Tff ao jamaa (makocha)wa waajili Moja kwa Moja na si kuwalipa kipindi cha mashindano tu.

Wafanye kazi ya kutafuta wachezaji wapya wa timu ya taifa, kuwaelekeza wachezaji wachezaji Nini warekebishe wakiwa kwenye mashindano mbali mbali yanayo husisha vilabu.
 
Ao makocha tuliwakosa kwa muda mrefu, Wanastahili kufundisha iyo timu kwa Mazingira tuliyonayo.
Wana elimu ya kutosha, wamecheza Mpira katika Mazingira magumu na ushindani mkubwa katika Ligi kuliko Sasa.
Wanafahamu Mazingira na akili/ uwezo wa wachezaji wetu.
Wanatengeneza timu ijayo ya taifa kwa umahiri mkubwa.
Nawashauri Tff ao jamaa (makocha)wa waajili Moja kwa Moja na si kuwalipa kipindi cha mashindano tu.

Wafanye kazi ya kutafuta wachezaji wapya wa timu ya taifa, kuwaelekeza wachezaji wachezaji Nini warekebishe wakiwa kwenye mashindano mbali mbali yanayo husisha vilabu.
Hakuna makocha hapo kuna wahamasishaji
 
Leo kocha morocco katangaza timu ya taifa,mimi simchukii lakini ni dhahiri hana uwezo wa kufindisha timu ya taifa na hata kuongea hawezi,nimemsikia leo ni wa kumhurumua tu.Nadhani ni mradi wa mtu fulani hapo tff kumpa yeye ukocha ili wagawane mshahara.Kituko cha mwaka ni julio alichoongea leo ni takataka tupu,kuwalaumi waandishi na kumtaja shafi dauda kuwa ni mtu mouuzi fulani hivi,kwani analazimisha mchezaji wake kachwrle achaguliwa taifa stars.Julio hafai kuwa kocha,julio ni mropokaji tu.Tff chukueni hatua haraka
Kwani ana kazi gani pale zaidi ya kuvizia goli lifungwe akakumbatiane na Mgunda?
 
Leo kocha morocco katangaza timu ya taifa,mimi simchukii lakini ni dhahiri hana uwezo wa kufindisha timu ya taifa na hata kuongea hawezi,nimemsikia leo ni wa kumhurumua tu.Nadhani ni mradi wa mtu fulani hapo tff kumpa yeye ukocha ili wagawane mshahara.Kituko cha mwaka ni julio alichoongea leo ni takataka tupu,kuwalaumi waandishi na kumtaja shafi dauda kuwa ni mtu mouuzi fulani hivi,kwani analazimisha mchezaji wake kachwrle achaguliwa taifa stars.Julio hafai kuwa kocha,julio ni mropokaji tu.Tff chukueni hatua haraka
Huyo Dauda naye anajifanyaga mjuaji mpeni timu
 
Ama hakika nabii Huwa hakubaliki kwao........!

Kwa issue ya Uzoefu wala hatuna shaka...!

Kwani Vyeti vyao vya Ukocha havitoshei? Au hawana Vyeti?
 
Timu ya taifa hata kuchek mechi zake htwa nahsi kichefuchefu, unakuta timu haina muunganyiko,kila mtu anacheza kivyake kutafta sifa upumbavu mtupu.
 
Back
Top Bottom