Mununuzi wa Tangawizi anahitajika

Mununuzi wa Tangawizi anahitajika

cannulla

Senior Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
111
Reaction score
176
nategemea kuanza kuchimba tangawizi hivi karibun,,
naomba mdau anaejua au kuhitaji kiasi kikubwa tuwasiliane PM.
ni kuanzia tonne 20, iko njombe mpakan mwa songea
 
Ongea na mama Malechela aliyekuwa mkuu wa mkoa. Yule ana soko kama sikosei jimbo lake lilikuwa mbele kwenye hii kazi.
 
Back
Top Bottom