Mungu yupo, kuna watu wanabisha kuwa yupo

Mungu yupo, kuna watu wanabisha kuwa yupo

Marco Seth

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2022
Posts
4,680
Reaction score
5,653
Kwenye Jf nimeona kuna mabishano yanatokea kwenye mada mbalimbali kuhusu Uwepo
Wa Mungu

4DF6D273-1681-4A2F-AAAD-A6CD220D486D.jpeg


YOHANA
1.Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.


Yeremia23:23 Mimi ni Mungu aliye karibu, asema Bwana, mimi si Mungu aliye mbali.
24 Je, mtu ye yote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema Bwana. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema Bwana.


Zaburi 14:1
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
2 Toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.


We unayesema Mungu hayupo
Unashida gani?
 
YOHANA
1.Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Wengine tupo interested zaidi na habari ambazo hamjazifafanua.

Kabla ya mwanzo kulikuwa na nini?

Je mwanzo wa mwanzo ndio mwanzo wa neno?

Na kama mwanzo wa neno ndio mwanzo wa Mungu ni kivipi mseme Mungu hana chanzo?

Kama Mungu hana chanzo kwanini kwenye utangulizi wake kuwe na "hapo mwanzo"?
 
Back
Top Bottom