Mungu wangu ni mwema kwangu.

Mungu wangu ni mwema kwangu.

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,119
Nimepaki gari mtaa mmoja kuna duka, nikashuka kwenda kununua maji ya chupa.

Nimerudi vizuri mpaka kwenye Gari, nikaweka gia ya kurudi nyuma. Aisee nimemburuza mtoto mdogo wa kiume, nikajua nimeua.

Nikainama kwenye sterling, nikamuomba Mungu wangu kwa dhati na unyenyekevu. Wakati huo vijana zaidi ya ishirini wamezunguka Gari pamoja na wazazi wa yule mtoto.

Mungu mkubwa mtoto katoka mzima na bahati nzuri kuna watu wazima waliona lile tukio hivyo wakathibitisha mimi sijafanya makosa, ila mtoto na wazazi wake ndio wenye makosa. Wakazidi kusema wazazi wa sasa hivi hawako makini na watoto kabisa.

Nikawachua mtoto na wazazi wake mpaka Polisi, kisha hospital bahati mbaya walikuwa hawana bima hivyo elfu arobaini zimenitoka.

Namshukuru Mungu kwa sababu sasa hivi hata kuchinja kuku siwezi sembuse kumtoa uhai mtoto.

Ndugu zangu yatupasa tuwe makini uswahili na magari yetu haya mkopo.
 
Nimepaki gari mtaa mmoja kuna duka, nikashuka kwenda kununua maji ya chupa.

Nimerudi vizuri mpaka kwenye Gari, nikaweka gia ya kurudi nyuma. Aisee nimemburuza mtoto mdogo wa kiume, nikajua nimeua.

Nikainama kwenye sterling, nikamuomba Mungu wangu kwa dhati na unyenyekevu. Wakati huo vijana zaidi ya ishirini wamezunguka Gari pamoja na wazazi wa yule mtoto.

Mungu mkubwa mtoto katoka mzima na bahati nzuri kuna watu wazima waliona lile tukio hivyo wakathibitisha mimi sijafanya makosa, ila mtoto na wazazi wake ndio wenye makosa. Wakazidi kusema wazazi wa sasa hivi hawako makini na watoto kabisa.

Nikawachua mtoto na wazazi wake mpaka Polisi, kisha hospital bahati mbaya walikuwa hawana bima hivyo elfu arobaini zimenitoka.

Namshukuru Mungu kwa sababu sasa hivi hata kuchinja kuku siwezi sembuse kumtoa uhai mtoto.

Ndugu zangu yatupasa tuwe makini uswahili na magari yetu haya mkopo.
Pole, hakika Mungu ni mwema sana kwetu.
 
Ulikuwa na makosa, ulitakiwa kabla ya kurudi uhakikishe kwamba ni salama, ni jambo la kushukuru kama hakuna madhara.

Kweli mkuu, ila niliangalia nikiwa ndani ya Gari bahati mbaya mtoto ni wa mwaka hivyo sikuweza kumuona.
 
Asante mkuu, yaani sijaamini mpaka muda huu.

Hakika Mungu ni mwema mkuu, ngoja nijipoze na bangi kidogo maana sio kazi rahisi.
Umenusurika kuuliwa maana Vijana wa mitaani huwa zao hzo !! Pole sana na keep on kumshukuru Muumba !! "kweli kuna mtu huko mbali anakuombea mema 24/7" labda mama yako mzazi!!
 
Umenusurika kuuliwa maana Vijana wa mitaani huwa zao hzo !! Pole sana na keep on kumshukuru Muumba !! "kweli kuna mtu huko mbali anakuombea mema 24/7" labda mama yako mzazi!!

Huwezi kuamini nimesita sana kutoka leo, mpaka natoka home roho yangu ilikuwa inasita sana, na bila kuangalia watu wanyuma walio kuwa wakipita njia ningemuua aisee!
 
Huwezi kuamini nimesita sana kutoka leo, mpaka natoka home roho yangu ilikuwa inasita sana, na bila kuangalia watu wanyuma walio kuwa wakipita njia ningemuua aisee!
Ajali hutokea kama ilivyoandikwa kudra...!! ila Malaika huteremka fasta kwa kasi ya mwangaza kuepusha maafa/balaa/majanga kwa namna ya ahuweni wepesi bila hasara kubwa !!
 
Back
Top Bottom