itakuwa Mungu wa old moshi katika jamii yao ... itakuwa ni imani kama nyingine kiukweli naamini kila jamaii zina mila na miungu yao so yawezekana ni kweli kavunja huyo Mungu wao ila mkimuona naombeni muumrudishe kaharibu ibda kule old moshi uwiiimiss chagga hebu kuja ufafanue kidogo hapa,huyo mungu alikuwa mwanamke au mwanamme?
itakuwa Mungu wa old moshi katika jamii yao ... itakuwa ni imani kama nyingine kiukweli naamini kila jamaii zina mila na miungu yao so yawezekana ni kweli kavunja huyo Mungu wao ila mkimuona naombeni muumrudishe kaharibu ibda kule old moshi uwiii
hakuna scienytific hapo ni imani tu .. kwa kuwa waliamini hicho kitu sasa hakipo wanaamini kwa sababu hiyoWanamtafuta ili aje amjenge mungu au wanataka yeye awe mungu kwa kuwa ameua mungu wao?
Wana social studies, fanyeni kautafiti mtujuvye huyo mungu alipovunjwa ambapo sijui aliuawa ama alifanyiwa ulemavu, matatizo gani yanayosemwa yametokea hapo kijijini, yanayohusiana na mungu kuwa mgonjwa au marehemu?
Huyo binti anatisha!. Mungu amlinde wasije kumchinja.
itakuwa Mungu wa old moshi katika jamii yao ... itakuwa ni imani kama nyingine kiukweli naamini kila jamaii zina mila na miungu yao so yawezekana ni kweli kavunja huyo Mungu wao ila mkimuona naombeni muumrudishe kaharibu ibda kule old moshi uwiii
watakunywa nasikia kuna mvua huko nahisi wamehusisha matukio sasa unajua imani ni ngumu kumtoa mtu huko acha tunajua mizimu imenuna leo,mbege hainyweki
Ni kosa tatizo tumekaririshwa Mungu kupitia taasisi ya kikikristo na kiislamu jambo ambalo si sahihi.. kuna Mungu wengi sana humu duniani.Ni sawa tu, akamatwe! Nikiingia kanisani nikakuta sanamu la bikra maria, au Yesu nikalivunja si jambo jema, ni sawa na mtu adhalilishe msahafu, au mtume kwa namna yoyote ile. Tuheshimu imani za wengine, huyo mungu yeye alikuwa anambana sehem ya kulala? alimkosea nini? Ana kosa, arudi aombe msamaha.