johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,975
- 146,191
Hakunaga Zawadi kubwa ambayo Shujaa Magufuli amewaachia Watanzania kama mradi wa Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
Mtambo namba 9 utakaozalisha zaidi ya megawatt 240 umewashwa jana kwa mafanikio makubwa na Mtambo namba 8 utawashwa March mwaka huu
Mungu wa Mbinguni Umpumzishe kwa Amani kuumeni kwako Shujaa Magufuli
Credit: Upendo TV
Mtambo namba 9 utakaozalisha zaidi ya megawatt 240 umewashwa jana kwa mafanikio makubwa na Mtambo namba 8 utawashwa March mwaka huu
Mungu wa Mbinguni Umpumzishe kwa Amani kuumeni kwako Shujaa Magufuli
Credit: Upendo TV