The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,582
- 7,249
Mnamo tarehe 1 mwezi huu wa tisa kulitokea kupatwa kwa jua, watalaam wa mambo ya kidunia walitabiri hili swala na kujionyesha wajuaji zaidi walitabiri mpaka muda na sehemu pia.
Lakini nimeshindwa kuelewa hawa wanaojiita wanasayansi mbona hawakutuambia kuhusu tetemeko la ardhi kwamba litatokea lini na wapi na muda pia?
Nadhani sasa ni wakati wao kuamini MUNGU yupo.
Lakini nimeshindwa kuelewa hawa wanaojiita wanasayansi mbona hawakutuambia kuhusu tetemeko la ardhi kwamba litatokea lini na wapi na muda pia?
Nadhani sasa ni wakati wao kuamini MUNGU yupo.