N transformed ....A soul..energy... Once created can neither be destroyed, it can only be transferred.
A soul..energy... Once created can neither be destroyed, it can only be transferred.
Thus we will exists for million of years..we are immortal divine energy.
Nani amekudanganya kuwa wanadamu tumependelewa?Wakuu ni jambo la heri kumtukuza MUNGU,alitoa upendeleo zaidi kwa wanadam kuliko viumbe wengine,lakini mara nyingi wanadam tunamkwaza kwa matendo yetu maovu. Mungu anao uwezo wa kufan ya lolote na kumaliza jeuri na kiburi cha binadamu pia kama maandiko yasemavyo katika Biblia-Takatifu,tujiulize na kutafakari kabla ya uumbaji wa ulimwengu na viumbe hai MUNGU aliumba na kuishi na nini,je anao uwezo wa kuangamiza ulimwengu mzima
A soul..energy... Once created can neither be destroyed, it can only be transferred.
Thus we will exists for million of years..we are immortal divine energy.
A soul...! Once created can never be destroyed
Kweli kuna kufa kiroho na kimwili."Behold all souls are mine, as the soul of the father, so the soul of the son is mine, the soul that sinneth, it shall die"-Ezekiel 18:4
Nakazia hiiUlimwengu ni mkubwa kuna viumbe wengine usijidanganye ati binadamu ndiye ana akili wakati ameshindwa hata kutoka inje ya sayari yakeView attachment 805757
And how about ressuraction..."Behold all souls are mine, as the soul of the father, so the soul of the son is mine, the soul that sinneth, it shall die"-Ezekiel 18:4
Hawezi kutoka nje ya sayari yake sababj haiwezekani na haitokuja kutokea.Ulimwengu ni mkubwa kuna viumbe wengine usijidanganye ati binadamu ndiye ana akili wakati ameshindwa hata kutoka inje ya sayari yakeView attachment 805757
Hata Mungu mwenyewe hana uwezo wa kuharibu na kuangamiza roho?A soul...! Once created can never be destroyed
Tizama hii ni picha ya Sayari ya nibiru yenye ufanano na Dunia na inamwonekano wa kuwa na uhai viumbeHawezi kutoka nje ya sayari yake sababj haiwezekani na haitokuja kutokea.
Pili ni viumbe gani wenye akili kuliko binadamu ?