Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
Dunia inajua wewe ni kiongozi mtetezi wa haki za wote; na hujawahi kukata tamaa, licha ya kutishiwa uhai wako.
Tunajua nia ya utekelezaji wa uovu wa Serikali iliyopo dhidi yako kuanzia usiku wa leo, ila utabaki shujaa wa wengi, na utashinda!!
Mungu akulinde kaka Zitto Kabwe.
Suphian Juma
Februari 17, 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajua nia ya utekelezaji wa uovu wa Serikali iliyopo dhidi yako kuanzia usiku wa leo, ila utabaki shujaa wa wengi, na utashinda!!
Mungu akulinde kaka Zitto Kabwe.
Suphian Juma
Februari 17, 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app