Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 7,657
- 3,774
Hatuwezi kulazimishana kuhusu haya mambo ya imani n ahata siamini kama yanatakiwa kuwa hivyo ila kwa sasa naomba utafute msaada wa kiafya. Waone madaktri au mshirikishe mtu unayemuamini jambo lako.
Nakutakia siku njema.
Nakutakia siku njema.