Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 453
Kwa jinsi hali inavyoendelea sidhani kama jimbo moja kama si yote hayatarudi CCM, tusubiri tuone maamuzi ya mahakama'
Duh vipi kunani tenaKwa jinsi hali inavyoendelea sidhani kama jimbo moja kama si yote hayatarudi CCM, tusubiri tuone maamuzi ya mahakama'
Atakua amekosea kutuma huyo, alitaka kutuma whatsApp sasa ametuma hapa hajui hii platform ya ma'great thinkersDuh vipi kunani tena
Kesi za uchaguzi?yule dogo asenga familia ya jk inampigia kifua sana,
Lolote linaweza tokea
Duh vipi kunani tena
Atakua amekosea kutuma huyo, alitaka kutuma whatsApp sasa ametuma hapa hajui hii platform ya ma'great thinkers
Huwez kutuma habari ambayo haina maelezo ya kutosha kuwaelewesha watu then unawish watu waelewe, it can't be!
Think big!