Habarini,wadau,
Poleni na majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki na nimatumaini yangu kadiri jua linavyozama basi tumepata angalau kidogo cha kurudisha nyumbani kwa ajili ya wapendwa na familia zetu.
Utangulizi:
Natambua uwepo wa nyuzi mbali mbali hapa jukwaani tena zikiwa na maudhui mbalimbali kulingana na malengo ya muandishi. zipo nyuzi (topic) zinazohabarisha, zinazoelimisha, zinazoburudisha na zile zinazoadilisha.
Nyuzi hii yangu ni mahususi kwa ajili ya kuadilisha yaani kumfanya msomaji akishakwisha kusoma na kutafakari basi hutoka na maadili ambayo kupitia kwayo kwa Msomaji mzingatiaji hujiepusha na balaa lakini kwa wale pangu pakavu tia mchuzi huzama kwenye tope.
Angalizo: usipoelewa usikasirike na wala usifadhaike subiri topic ambayo ni size yako.
Back to the topic (Revelation)
1. Siku zote fanya ufanyavyo ila ujue malipo ni hapa hapa duniani.
2.Siku zote utavuna ulichokipanda (karma Principle), ukipanda wema utavuna wema na kinyume chake ni sahihi.
3.Siku zote mungu anafikiwi, Unaweza kuwa mnafiki kiasi cha binadamu wote kukufurahia na hata kupewa tuzo lakini kwa mungu hapana
4.Mungu hajawahi kutoa zawadi ya maisha marefu kwa wanafiki na hilo limethibiti leo na siku zote ndivyo ilivyo.
Hitimisho: Kalale unapostahili sisi tuko nyuma yako.
Poleni na majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki na nimatumaini yangu kadiri jua linavyozama basi tumepata angalau kidogo cha kurudisha nyumbani kwa ajili ya wapendwa na familia zetu.
Utangulizi:
Natambua uwepo wa nyuzi mbali mbali hapa jukwaani tena zikiwa na maudhui mbalimbali kulingana na malengo ya muandishi. zipo nyuzi (topic) zinazohabarisha, zinazoelimisha, zinazoburudisha na zile zinazoadilisha.
Nyuzi hii yangu ni mahususi kwa ajili ya kuadilisha yaani kumfanya msomaji akishakwisha kusoma na kutafakari basi hutoka na maadili ambayo kupitia kwayo kwa Msomaji mzingatiaji hujiepusha na balaa lakini kwa wale pangu pakavu tia mchuzi huzama kwenye tope.
Angalizo: usipoelewa usikasirike na wala usifadhaike subiri topic ambayo ni size yako.
Back to the topic (Revelation)
1. Siku zote fanya ufanyavyo ila ujue malipo ni hapa hapa duniani.
2.Siku zote utavuna ulichokipanda (karma Principle), ukipanda wema utavuna wema na kinyume chake ni sahihi.
3.Siku zote mungu anafikiwi, Unaweza kuwa mnafiki kiasi cha binadamu wote kukufurahia na hata kupewa tuzo lakini kwa mungu hapana
4.Mungu hajawahi kutoa zawadi ya maisha marefu kwa wanafiki na hilo limethibiti leo na siku zote ndivyo ilivyo.
Hitimisho: Kalale unapostahili sisi tuko nyuma yako.