Mungu anasema damu haitomwagika ila ole wa anayemwaga damu

Mungu anasema damu haitomwagika ila ole wa anayemwaga damu

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,270
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Haha Hivi Kule Tela viv au Kongo huko Mungu wako ayupo?

Tumain bana

Umeona yanaondelea Gaza? Kwamba Mungu wako anamwogopa Nyetapusi?
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Ni ujumbe mzuri ila sijajua kama akina Ohomeraaaa najooo Mjaluo wa Chimala-Mbeya kama atakuelewa.
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Masawe kaelewa ulichoandika?
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Acheni hizo mambo israel anamwaga damu za watoto wachanga kila siku huko gaza hatuwasikii mkileta mistari yenu tulieni tusubiri uchaguzi
 
Acheni hizo mambo israel anamwaga damu za watoto wachanga kila siku huko gaza hatuwasikii mkileta mistari yenu tulieni tusubiri uchaguzi
Ni kweli kama anavyomwaga damu Islamic state na Bokoharam kule Nigeria
 
Acheni hizo mambo israel anamwaga damu za watoto wachanga kila siku huko gaza hatuwasikii mkileta mistari yenu tulieni tusubiri uchaguziuna matumaini sana na huo uchafuzi naonaUnayo matumaini

Haha Hivi Kule Tela viv au Kongo huko Mungu wako ayupo?

Tumain bana

Umeona yanaondelea Gaza? Kwamba Mungu wako anamwogopa Nyetapusi?
Ni shida sana kujihusisha na mada ya kijinga kama hii, lakini tufanyeje, tumo kwenye nyakati za kijinga hizi!

Kwa hiyo nyinyi wawili kwa sasa mnasemaje kuihusu Tanzania, tusubiri damu imwagike?

Ni kama mnacheleweshwa kuanza kuiona damu ya waTanzania ikitiririka, au siyo?

Na kama kutiririka kwa damu hiyo kutatuondolea balaa hili ninalotukabili chini ya CCM ya Samia; basi italazimu tukubali matakwa yenu.
 
Tusidhihaki, kwa sababu mambo ya imani huwa hakuna njia za kisayansi kuyathibitisha.

Lakini pia tutambue kuwa hekima ya Mungu, siyo hekima ya mwanadamu.

Huwezi kujua kwa nini ĥakutenda pale akatenda hapa, huwezi kujua kwa nini hakutenda kwa yule lakini akatenda kwako.

Jambo la muhimu, tujitahidi kuwatendea haki na wema binadamu wenzetu wakati wote, maana hilo ndilo agizo lake kuu.
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Huyo mungu anayekataza kumwaga damu aliua wazaliwa wote wa kwanza wa wamisri ili kuwatoa waisraeli utumwani. Ndiyo asili ya pasaka. Hatia ya waliouawa ni kuwa wazaliwa wa kwanza! Hebu soma Yeremia 48:10 utueleze maana yake. Bali ujumbe wako una mantiki
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Dam! Au damu? Fafanua maana vyote vinahusiana na vitiririka.
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga dam 😳 ole kwa wanao panga mabaya kwa watu wasio na hatia yes mtafanikiwa ila mkisha maliza fanya hayo MUNGU Taifa la Tanzania na Tanganyika anasema hiyo dam itawarudia kwa sababu mliimwaga kwa hila na Tangu hapo Yeye amekwisha kusema Usimwage dam isiyo na hatia maana Bwana ataitaka kwako na kwa uzao wako.

Mwalimu alisha likabidhi Taifa mbele ya Mungu na hili Taifa lipo chini ya Mungu mwenyewe wala sio mwanadam na ili kuwathibitishia endeleeni kumwaga dam isiyo na hatia.

Mungu anaenda kuleta ishara Mungu anaenda kuleta jambo jipya mimi na wewe hatukulitegemea Dam ilio mwagika ina mlilia na inatafuta hukumu na haki yake.

Sifa na uchawa vita waacha na midomo wazi maana anasema atapita wakati wa usiku mzito kuitekeleza haki kwa walio umizwa na kukatishwa maisha yao pasipo haki.

Yeye ni Mungu, Yeye ndie Muumba wa vyote vinaonekana na visivyo onekana je jina lake lidhihakiwe ? Lahasha lahasha lahasha atajibu atajibu wakati wa usiku sana ili jina lake lotukuzwe na kuogopwa sasa na milele. Amen
Mgombea mmoja wa Urais ameshaanza kumwaga damu na uonevu kwa watu wasio na hatia.
 
Mungu anazungumza na Taifa usiku huu na neno lake nifupi sana ila litakuwa wazi mbele ya uso wa Taifa.

"Hapata mwagika Dam ktk uso wa nchi ila ole ole anaye mwaga damu
Ole anayemwaga damu gani tena wakati hapatamwagika damu?
 
Back
Top Bottom