UFALMEnaUKUHANI
Member
- Mar 23, 2025
- 16
- 8
wakati wa usiku usingizi mazito uwajiapo wanadamu.Mungu hunena na sio mara moja.lakini watu hawayatilii maanani yaliyosemwa naye.
Nirudie Mungu anasema kila siku na kila anaitwa mwananadamu.Ukipuuza Sasa ukiwa na pumzi puani. Utaelewa kwa lazima ukiwa haupo tena katika mwili.Ni lazima uone utaelewa tu lakini utakuwa umechelewa.
Anasema nasi kuhusu Taifa ,kuhusu maisha yetu na machaguo yetu tunayoyafanya kila siku.anaongea nasi kuhusu madhara ya Hila na unafiki pamoja na ubinafsi.
Lakini wanadamu wanapuuza kwa sababu wanaamini juu ya elimu zao na pesa zao na ujanja wao na nguvu yoa.Bila kuangalia picha kubwa ya uthamani wa kila mwana wa adamu.
JIulize lini mara ya mwisho umekumbuka ulichokiona usiku na kukisikia ndoto. Ndio hukumbuki! Ni kweli kitunzio cha kumbukumbuka zako kimeingiliwa. Unaishi nje ya taarifa halisi na ukweli kuhusu maisha Yako.
Inaonekana umefanikiwa unaoneka unaheshima lakini ndani usiku kitandani peke Yako Unatamani jua lingewaka usiku kwa sababu unaona Giza.
2025????…..
Nirudie Mungu anasema kila siku na kila anaitwa mwananadamu.Ukipuuza Sasa ukiwa na pumzi puani. Utaelewa kwa lazima ukiwa haupo tena katika mwili.Ni lazima uone utaelewa tu lakini utakuwa umechelewa.
Anasema nasi kuhusu Taifa ,kuhusu maisha yetu na machaguo yetu tunayoyafanya kila siku.anaongea nasi kuhusu madhara ya Hila na unafiki pamoja na ubinafsi.
Lakini wanadamu wanapuuza kwa sababu wanaamini juu ya elimu zao na pesa zao na ujanja wao na nguvu yoa.Bila kuangalia picha kubwa ya uthamani wa kila mwana wa adamu.
JIulize lini mara ya mwisho umekumbuka ulichokiona usiku na kukisikia ndoto. Ndio hukumbuki! Ni kweli kitunzio cha kumbukumbuka zako kimeingiliwa. Unaishi nje ya taarifa halisi na ukweli kuhusu maisha Yako.
Inaonekana umefanikiwa unaoneka unaheshima lakini ndani usiku kitandani peke Yako Unatamani jua lingewaka usiku kwa sababu unaona Giza.
2025????…..