"Mungu Ameshuka Tanzania"

"Mungu Ameshuka Tanzania"

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,100
Ninawakaribisha Katika Chuo Cha "Mlima Wa Neema" Kilichopo Ruaha Kilombero. Baadhi Ya Kozi Zinazofundishwa
1. Misingi Ya Wokovu
2. Misingi Ya Kiroho
3. Misingi Na Kanuni Za Utumishi
4. Namna Ya Kumwona Mungu
5. Kukaa Na Kuishi Na Mungu Siku Zote
6. Namna Ya Kudumu Ktk Ushindi Kila Cku
7. Kanuni Za Kuanza/kuanzisha Huduma/kanisa
8. Tabia Na Utendaji Wa Huduma Za Kiroho (Utume, Unabii, Ualimu, Uchungaji, Uinjilisti). Lakini Kumbuka Hakuna Mipaka Ya Somo, Hayo Ni Baadhi Tu. Kwa Wale Waliokuwa Na Kiu Ya Kumtumikia Mungu Sasa Huu Ndio Wakati Wako, Hasa Vijana Maana Mungu Anasema "Mkumbuke Muumba Wako Wkt Wa Ujana Wako" Na Pia Anasema "Nimewaandikia Ninyi Kwa Sbb Mna Nguvu Na Mmemshinda Yule Mwovu" KARIBUNI WOTE
 
Illovo wasalimie Festo odoro, Ephrem Mdemu, Tatu mgonde, Ally Mgonde na Allawi Mdee.
 
Kumbe utume na unabii unasomewa? Yesu alisomea wapi?
 
Ngoja nije kusomea unabii ili nitumie fulsa hapa kitaani kwangu mana naona napishana na mihela inayopelekwa kwa mtume wa Mwenge
 
Bill Cosby waumini wamepungua wameamua kutufuata hukuhuku
 
Last edited by a moderator:
Wote Wapo Poa, Tatu Mgonde Anakukaribsha Akupe Kazi, Odoro Mungu Anazidi Na Atazidi Kumuinua Maana Sasa Yeye Ni Baba Mchungaji

Hahhaaa dogo acha uoga wewe Illovo tatu anipe kazi? Au mi nimtoe huko kwenye tope ninsogeze hata hapa bodi ya sukari.

Nani anataka ku deal na wahindi wajinga!
 
Last edited by a moderator:
Hahhaaa dogo acha uoga wewe Illovo tatu anipe kazi? Au mi nimtoe huko kwenye tope ninsogeze hata hapa bodi ya sukari.

Nani anataka ku deal na wahindi wajinga!

Mwenzako Yupo Ofcn sasa iv amakula maisha, hii kampuni kubwa hna title duniani!!! au unadhan utawala wa lyamba?
 
Last edited by a moderator:
Kumbe utume na unabii unasomewa? Yesu alisomea wapi?
Yesu Ndye Mwl Mkuu Ndye Ametuachia Haya Tuyafundishe Maana Wengne Bado Hawaamin Kama Kuna Mitume Na Manabii Hata Leo Na Kupelekea Kukosa Mambo Mengi, Karbu Sana Ktk Chuo Hiki Cha "Roho Mtakatifu" Kiitwacho "Mlima Wa Neema" Ruaha Kilombero. Unakujua Kilombero???
 
Back to the topic!
Naona unahama pasipo kujitambua.

Kama Wewe Ni Mwnyj Chuo Cha Mlima Wa Neema Kipo Jirani Mzee Kimaro Nyamvic. Ndugu Karbu Sana Utakutana Na "Mjumbe Wa Bwana" Nabii Samwel, Mungu Ayaguse Maisha Yako,kazi Zako Akupe Neema Ya Kumtumikia
 
mmhh mnafundisha Kumuona Mungu?haya bana

Ndiyo Unaweza Kumuona Mungu Kazi Yesu Alisema " Kama Hamniamini Basi Ziamini Kazi Nizifanyazo" Maana Yake Kazi Ndzo Zinazomtambulisha Mungu. Karbu Hakuna Ada Wala Kiingilio Ni Tu Kufika. Unajua Mahali Chuo Cha "Mlima Wa Neema" Kilipo??
 
Yesu Ndye Mwl Mkuu Ndye Ametuachia Haya Tuyafundishe Maana Wengne Bado Hawaamin Kama Kuna Mitume Na Manabii Hata Leo Na Kupelekea Kukosa Mambo Mengi, Karbu Sana Ktk Chuo Hiki Cha "Roho Mtakatifu" Kiitwacho "Mlima Wa Neema" Ruaha Kilombero. Unakujua Kilombero???


Wewe na wale manabii feki unawazungumziaje waliotajwa kwenye biblia?
 
Back
Top Bottom